fugees
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 2,868
- 882
Wanajf heshima kwenu. Ni kweli ajira zinasumbua wasomi wengi tuna picha ya kukaa ofisini kwenye kiti cha kuzunguka na kiyoyozi pindi tumalizapo chuo. Mimi kama kijana nataka kuanzisha biashara ya popcorn (bisi) nataka mashine mbili za popcorn za saizi ya kati na ziwe brand neW HATA KAMA NI UZID BAS IMPORTED ORIENTED. NAOMBA KUJUA BEI ZAKE. Mipango yangu ni kwa siku kila mashine iweze kuuzia watu mia kwa sh 500 mia tano nauhakika nitafanikiwa tu. Nisaidieni BEI NIJIAJIRI JAMANI MAANA NIMEZUNGUKA KUTAFUTA KAZI LAKINI WOLA. NISHINDWE HATA HII? HAPANA PATAKUWA NA MKONO WA MTU.