Hakuna abiria wa kushindanisha kwa "afya" mashirika matatu ya ndege kwa safari za ndani

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,018
144,375
Changamoto kubwa itakayoikabili Aviation Industry hapa nchini kwa sasa ni uchache wa abiria utakaosababishwa na mambo kadhaa nitakayoyaanisha hapa chini kulingana na mtazamo wangu huku mashirika ya ndege yakiendelea kuongezeka kila kukicha.

Sababu ni hizi:

Utamaduni wa mtanzania


Watanzania wengi bado wanakasumba ya kishamba sana na ya kizamani kuwa usafiri wa ndege ni anasa na ni usafiri wa watu matajiri tu.

Leo hii mwananchi wa kawaida mwenye kipato cha wastani ukikata ticket ya ndege kutoka Tabora kwenda Dar watu hawakuelewi na wataanza kuulizana hivi huyu hata kiwanja anacho,wengine watasema unapanda ndege wakati unaishi nyumba ya kupanga,n.k

Hata vigogo wa serikali wengi ukiona wamepanda ndege basi ujue hiyo ni safari ya kikazi lakini safari binafsi atachukua basi na wengine hata mabasi ya bei chee na sio luxury.

Wakati mwingine hata mtu akichukua likizo na akaamua kupanda ndege kuelekea mikoa ya pembezoni kusalimia ndugu na jamaa kijijina kwao basi hufanya hata siri maana ndugu/wazazi hawatamuelewa na badala yake watamuona anafanya anasa kwa kupoteza fedha ambazo angeweza kusaidia wazazi au ndugu zake huko kijijini aendako.

Serikali kubana matumizi


Hivi sasa serikali imeamua kubana matumizi kiasi cha kupunguza OC katika Mashirika na Taasisi nyingi za serikali.

Athari ya sera hii ya kubana matumizi kwa biashara ya usafiri wa anga hapa nchini ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya watumishi wa serikali waliokuwa wanapanda ndege kwa safari za kikazi za ndani ya nchi.

Kwa mfano,siku za nyuma CEO wa Taasisi ya umma yeye na maafisa wake kadha walikuwa wakikata ticket za ATCL kwenda mikoani kuhudhuria maafali katika chuo kinachoendeshwa na taasisi anayoingoza,kufanya uzinduzi,kukagua utendaji kazi mikoani n.k. Hivi sasa wengi bila shaka wanalazimika kutumia magari ya ofisi au hata public transport.

Kipato kidogo cha watanzania


Watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini huku wakikabiliwa na majukumu mengi ya kimaisha kiasi kwamba unaweza ukaweka nauli ndogo ila bado wengi wakashindwa kumudu gharama hizo.

Kwa mfano,hata ukiweka nauli ya ndege ya sh 50,000 kwa safari ya Dar-Dodoma wakati kuna Shabiby ya sh 20,000 wengi hutwaona sio kama hawapendi ila tatizo uchumi hauruhusu na huko anakokwenda bado kuna gharama zinamsubiri.

Hivyo kwa hali hii,hata ukishusha nauli bado itakuwa ni vigumu kupata abiria wa kutosha kujaza ndege za mashirika matatu au zaidi kwasababu abiria hao wa kuwavutia nao ni wachache ukilinganisha na mashirika yaliyopo na bei ikishushwa kuputs kiasi hiyo tena haitakuwa biahara bali ni kua mashirika haya.

Viwanja vichache vya ndege vilivyopo


Hili nalo ni tatizo lingine ambalo litajikozea iwapo ushindani wa biashara ya ndege utaongezeka hapa nchini.

Hii ni kwasababu,viwanja vichache vya ndege maana yake ni kuwa, destination zitakuwa chache huku mashirika ya ndege yakiongezeka na hivyo mwisho wa siku mashirika haya yatajikuta yana tatizo la kuwa na destinations zisizowatosheleza kufanya biashara kwa mafanikio na kwa ushindani wenye afya maana bila destination za kutosha tafsiri yake ni kwamba hakuna biashara.

Ubovu wa baadhi ya viwanja


Ubovu wa baadhi ya viwanja nako kutachangia baadhi ya mashirija kushindwa kupeleka ndege zao katika baadhi ya mikoa/maeneo na hivyo kuyafanya mashirika haya kutegemea viwanja vichache vilivyopo kuendesha biashara hii jambo ambalo si zuri kibiashara kwao kwani watakuwa na viwanja vichache vya kufanya biashara ili hali mashirika yanaongezeka.

Shughuli chache za kiuchumi,kijamii na kibiashara mikoani

Uwepo wa shughuli za kiuchumi, kijamii na kibiashara kama vile mikutano, washa, makongamona ,mikutano ya wasomi na wataalamu mbalimbali,miradi mikubwa ya kimaendeleo, n.k, huweza kuchangia kupatikana kwa abiria wanaosafiri kwa ajili ya kwenda kufanya au kuhudhuria shughuli za aina hii sehemu mbalimbali za nchi..

Sasa kwa nchi yetu shughuli za aina hii mara nyingi hufanyika katika mikoa ya Dar-es-salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar tu huku serikali nayo ikipiga marufuku shughuli za aina hii kwa watumishi wake.

Kuendelea Kuimarika kwa mtandao wa barabara nchini

Serikali imejitahidi sana kuboresha mtandao wa barabara hasa zile zinazounganisha mikoa na juhudi hizi bado zinaendelea kuwezesha mikoa yote nchi kuunganishwa kwa barabara za kiwango cha lami jambo ambalo ni jema na la kupongeza.

Kutokana na serikalikali kuendelea kuboresha barabara zinazounganisha mikoa,baadhi ya watu waliokuwa wakipanda ndege kuepuka adha ya kusafiri umbali mrefu kwenye barabara mbovu hawatakuwa tena na sababu ya kufanya hivyo.

Kwa mfano, safari ya kutoka Dar-es-Salaam kwenda Kigoma kwa barabara ilikuwa ni adhabu tosha kiasi kwamba ukisafiri mara moja, mara ya pili kama una uwezo wa kupanda ndege utaona ni bora usafiri kwa ndege kuepuka adha ya vumbi, kurushwarushwa na safari ya masaa mengi katika mazingira magumu.

Binafsi nilisafiri na basi la Adventure mwaka 2008 kutoka Dar-es-salaam kwenda Kigoma na ninachokiongea hapa nimeki-experience.Hata hivyo, ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami ulikuwa unaendelea katika baadhi ya maeneo ingawa sijui kwa sasa ujenzi umekamilika kwa kiwango gani.

Ujenzi wa Reli ya kisasa


Kama serikali itafanikiwa kujenga reli ya kisasa kama inavyokusudia na hivyo tukawa na mtandao mzuri, bora na wa kisasa wa reli,hakika watu wengi watatumia usafiri wa train ambao ni usafiri wa gharama nafuu zaidi kulinganisha na usafiri wa basi na ule wa ndege.

Watu wengi wenye kipato cha kati watasafiri kwa reli badala ya ndege kwa safari za kwenda na kurudi kati ya Dar-es-Salaam na Tabora,Tabora na Kigoma na Dar-es-Salaam mpaka Kigoma.

Kuboreka kwa mtandao wa reli kwa kujenga reli ya kisasa itakuwa ni tishio kubwa kwa Aviation Industry hapa nchini kwa siku zijazo.

Kwa kuzingatia changamoto hizo hapo juu, ukweki ni kuwa, itakuwa ni vigumu kwa mashirika matatu au zaidi ya ndege ku-operate hapa nchini na yote yakajiendesha kwa faida katika mazingira haya.

Vile vile, iwapo mashirika binafsi ya ndege nayo yataamua kushusha zaidi nauli au kuleta ndege ambazo nazo zitatumia mafuta kidogo, sitashangaa wakati ukafika seriali ikajikuta inalazimika kutoa fedha na kuikopesha ATCL ili imudu ushindani.

Tunaweza kuwa na ushindani lakini sioni uwezekano wa kuwa na ushindani wenye afya katika biashara ya ndege kwa safari za ndani hapa nchini.

Kuna baadhi ya mashirika yatalazimika kujitoa na mengine yatalazimika kuangalia safari za nje ya nchi kama yatataka kubakia katika hii biashara.

Wengi kwa sasa hamtanielewa ila muda ndio utaongea.
 
Basi wewe kaka nyumbani uki shughulikia afya yako ya mke wako ya nduguzo , watoto, Bibi yako etc ukimaliza Ndio uje huku
 
Changamoto kubwa itakayoikabili Aviation Industry hapa nchini kwa sasa ni uchache wa abiria huku mashirika ya ndege yakiongezeka.

Sababu ni hizi:

Utamaduni wa mtanzania


Watanzania wengi bado wanakasumba ya kishamba sana na ya kizamani kuwa usafiri wa ndege ni anasa na ni usafiri wa watu matajiri tu.

Leo hii mwananchi wa kawaida mwenye kipato cha wastani ukikata ticket ya ndege kutoka Tabora kwenda Dar watu hawakuelewi na wataanza kuulizana hivi huyu hata kiwanja anacho,wengine watasema unapanda ndege wakati unaishi nyumba ya kupanga,n.k

Hata vigogo wa serikali wengi ukiona wamepanda ndege basi ujue hiyo ni safari ya kikazi lakini safari binafsi atachukua basi na wengine hata ya bei chee na sio luxury.

Wakati mwingine hata mtu akichukua likizo na akaamua kupanda ndege kuelekea mikoa ya pembezoni kusalimia ndugu na jamaa kijijina kwao basi hufanya hata siri maana ndugu/wazazi hawatamuelewa na badala yake watamuona anafanya anasa kwa kupoteza fedha ambazo angeweza kusaidia wazazi au ndugu zake huko kijijini aendako.

Serikali kubana matumizi


Hivi sasa serikali imeamua kubana matumizi kiasi cha kupunguza OC katika Mashirika na Taasisi nyingi za serikali.

Athari ya sera hii ya kubana matumizi kwa biashara ya usafiri wa anga hapa nchini ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya watumishi wa serikali waliokuwa wanapanda ndege kwa safari za kikazi za ndani ya nchi.

Kwa mfano,siku za nyuma CEO wa Taasisi ya umma yeye na maafisa wake kadha walikuwa wakikata ticket za ATCL kwenda mikoani kuhudhuria maafali katika chuo kinachoendeshwa na taasisi anayoingoza,kufanya uzinduzi,kukagua utendaji kazi mikoani n.k. Hivi sasa wengi bila shaka wanalazimika kutumia magari ya ofisi au hata public transport.

Kipato kidogo cha watanzania


Watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini huku wakikabiliwa na majukumu mengi ya kimaisha kiasi kwamba unaweza ukaweka nauli ndogo ila bado wengi wakashibdwa kumudu gharama hizo.

Kwa mfano,hata ukiweka nauli ya ndege ya sh 50,000 kwa safari ya Dar-Dodoma wakati kuna Shabiby ya 20,000 wengi hutwaona sio kama hawapendi ila tatizo uchumi hauruhusu na huko anakokwenda bado kuna gharama zinamsubiri.

Hivyo kwa hali hii,hata ukishusha nauli bado itakuwa ni vigumu kupata abiria wa kutosha kujaza ndege za mashirima matatu au zaidi kwasababu abiria hao wa kuwavutia nao ni wachache ukilinganisha na mashirika yaliyopo na bei ikishushwa kuputs kiasi hiyo tena haitakuwa biahara bali ni kua mashirika haya.

Viwanja vichache vya ndege vilivyopo


Hili nalo ni tatizo lingine ambalo litajikozea iwapo ushindani wa biashara ya ndege utaongezeka hapa nchini.

Hii ni kwasababu,viwanja vichache vya ndege maana yake ni kuwa, destination zitakuwa chache huku mashirika ya ndege yakiongezeka na hivyo mwisho wa siku mashirika haya yatajikuta yana tatizo la kuwa na destinations zisizowatosheleza kufanya biashara kwa mafanikio na kwa ushindani wenye afya maana bila destination za kutosha tafsiri yake ni kwamba hakuna biashara.

Ubovu wa baadhi ya viwanja


Ubovu wa baadhi ya viwanja nako kutachangia baadhi ya mashirija kushindwa kupeleka ndege zao katika baadhi ya mikoa/maeneo na hivyo kuyafanya mashirika haya kutegemea viwanja vichache vilivyopo kuendesha biashara hii jambo ambalo si zuri kibiashara kwao kwani watakuwa na viwanja vichache vya kufanya biashara ili hali mashirika yanaongezeka.

Shughuli chache za kiuchumi,kijamii na kibiashara mikoani

Uwepo wa shughuli za kiuchumi, kijamii na kibiashara kama vile mikutano, washa, makongamona ,mikutano ya wasomi na wataalamu mbalimbali,miradi mikubwa ya kimaendeleo, n.k, huweza kuchangia kupatikana kwa abiria wanaosafiri kwa ajili ya kwenda kufanya au kuhudhuria shughuli za aina hii sehemu mbalimbali za nchi..

Sasa kwa nchi yetu shughuli za aina hii mara nyingi hufanyika katika mikoa ya Dar-es-salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar tu huku serikali nayo ikipiga marufuku shughuli za aina hii kwa watumishi wake.

Ukweki ni kuwa, kwa nchi yetu kuwa na mashirika mawili au matatu yanayochuana vikali katika biashara hii ya ndege ni vigumu yote ku-survive na itafika hatua baadhi ya mashirika yajitoa tu.

Iwapo mashirika binafsi ya ndege nayo yataamua kushusha zaidi nauli au kuleta ndege ambazo nazo zitatumia mafuta kidogo,sitashangaa wakati ukafika seriali ikajikuta inalazimika kutoa fedha na kuikopesha ATCL ili imudu ushindani.

Tunaweza kuwa na ushindani lakini sioni uwezekano wa kuwa na ushindani wenye afya katika biashara ya ndege kwa safari za ndani hapa nchini.
Magufuli anawatesa sana........kutoka kupayuka ''nchi gani haina ndege'' hadi kufikia kukataa ndege.Kapimwe akili.
 
Changamoto kubwa itakayoikabili Aviation Industry hapa nchini kwa sasa ni uchache wa abiria huku mashirika ya ndege yakiongezeka.

Sababu ni hizi:

Utamaduni wa mtanzania


Watanzania wengi bado wanakasumba ya kishamba sana na ya kizamani kuwa usafiri wa ndege ni anasa na ni usafiri wa watu matajiri tu.

Leo hii mwananchi wa kawaida mwenye kipato cha wastani ukikata ticket ya ndege kutoka Tabora kwenda Dar watu hawakuelewi na wataanza kuulizana hivi huyu hata kiwanja anacho,wengine watasema unapanda ndege wakati unaishi nyumba ya kupanga,n.k

Hata vigogo wa serikali wengi ukiona wamepanda ndege basi ujue hiyo ni safari ya kikazi lakini safari binafsi atachukua basi na wengine hata ya bei chee na sio luxury.

Wakati mwingine hata mtu akichukua likizo na akaamua kupanda ndege kuelekea mikoa ya pembezoni kusalimia ndugu na jamaa kijijina kwao basi hufanya hata siri maana ndugu/wazazi hawatamuelewa na badala yake watamuona anafanya anasa kwa kupoteza fedha ambazo angeweza kusaidia wazazi au ndugu zake huko kijijini aendako.

Serikali kubana matumizi


Hivi sasa serikali imeamua kubana matumizi kiasi cha kupunguza OC katika Mashirika na Taasisi nyingi za serikali.

Athari ya sera hii ya kubana matumizi kwa biashara ya usafiri wa anga hapa nchini ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya watumishi wa serikali waliokuwa wanapanda ndege kwa safari za kikazi za ndani ya nchi.

Kwa mfano,siku za nyuma CEO wa Taasisi ya umma yeye na maafisa wake kadha walikuwa wakikata ticket za ATCL kwenda mikoani kuhudhuria maafali katika chuo kinachoendeshwa na taasisi anayoingoza,kufanya uzinduzi,kukagua utendaji kazi mikoani n.k. Hivi sasa wengi bila shaka wanalazimika kutumia magari ya ofisi au hata public transport.

Kipato kidogo cha watanzania


Watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini huku wakikabiliwa na majukumu mengi ya kimaisha kiasi kwamba unaweza ukaweka nauli ndogo ila bado wengi wakashibdwa kumudu gharama hizo.

Kwa mfano,hata ukiweka nauli ya ndege ya sh 50,000 kwa safari ya Dar-Dodoma wakati kuna Shabiby ya 20,000 wengi hutwaona sio kama hawapendi ila tatizo uchumi hauruhusu na huko anakokwenda bado kuna gharama zinamsubiri.

Hivyo kwa hali hii,hata ukishusha nauli bado itakuwa ni vigumu kupata abiria wa kutosha kujaza ndege za mashirima matatu au zaidi kwasababu abiria hao wa kuwavutia nao ni wachache ukilinganisha na mashirika yaliyopo na bei ikishushwa kuputs kiasi hiyo tena haitakuwa biahara bali ni kua mashirika haya.

Viwanja vichache vya ndege vilivyopo


Hili nalo ni tatizo lingine ambalo litajikozea iwapo ushindani wa biashara ya ndege utaongezeka hapa nchini.

Hii ni kwasababu,viwanja vichache vya ndege maana yake ni kuwa, destination zitakuwa chache huku mashirika ya ndege yakiongezeka na hivyo mwisho wa siku mashirika haya yatajikuta yana tatizo la kuwa na destinations zisizowatosheleza kufanya biashara kwa mafanikio na kwa ushindani wenye afya maana bila destination za kutosha tafsiri yake ni kwamba hakuna biashara.

Ubovu wa baadhi ya viwanja


Ubovu wa baadhi ya viwanja nako kutachangia baadhi ya mashirija kushindwa kupeleka ndege zao katika baadhi ya mikoa/maeneo na hivyo kuyafanya mashirika haya kutegemea viwanja vichache vilivyopo kuendesha biashara hii jambo ambalo si zuri kibiashara kwao kwani watakuwa na viwanja vichache vya kufanya biashara ili hali mashirika yanaongezeka.

Shughuli chache za kiuchumi,kijamii na kibiashara mikoani

Uwepo wa shughuli za kiuchumi, kijamii na kibiashara kama vile mikutano, washa, makongamona ,mikutano ya wasomi na wataalamu mbalimbali,miradi mikubwa ya kimaendeleo, n.k, huweza kuchangia kupatikana kwa abiria wanaosafiri kwa ajili ya kwenda kufanya au kuhudhuria shughuli za aina hii sehemu mbalimbali za nchi..

Sasa kwa nchi yetu shughuli za aina hii mara nyingi hufanyika katika mikoa ya Dar-es-salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar tu huku serikali nayo ikipiga marufuku shughuli za aina hii kwa watumishi wake.

Ukweki ni kuwa, kwa nchi yetu kuwa na mashirika mawili au matatu yanayochuana vikali katika biashara hii ya ndege ni vigumu yote ku-survive na itafika hatua baadhi ya mashirika yajitoa tu.

Iwapo mashirika binafsi ya ndege nayo yataamua kushusha zaidi nauli au kuleta ndege ambazo nazo zitatumia mafuta kidogo,sitashangaa wakati ukafika seriali ikajikuta inalazimika kutoa fedha na kuikopesha ATCL ili imudu ushindani.

Tunaweza kuwa na ushindani lakini sioni uwezekano wa kuwa na ushindani wenye afya katika biashara ya ndege kwa safari za ndani hapa nchini.
Kaka mara nyingine kuwa na aibu kodogo hata kama ujazaliwa nayo basi hata ya kuazima Please!

SIKU ZOOOTE HILO HUKULIONA ILA SASA KWA SABABU ATCL INAFUFUKA NDIO UNALETA VIROJA VYAKO!
 
huwa nashindwa kuelewa,kuna ndege mtu unpanda mpk unajiskia uko peponi zina wifi,charger space unapewa na ipad yako ni kiasi cha kugoogle tu km huna yako.movie station kibao,vinywaji ni kuagiza tu kama uko bilcanas na wachumba wazuri wanatoa huduma.safari hiyo unakuta ngoma 14 hrs uko hewani ukiamka ni toilet nakurudi kukaa.
sasa unakuta umefika bongo visafari vya ndani uanze kubook vindege vyetu sijui precision sijui fast jet yaani utaishia kukereka tu.yes dar tu mbeya safari ni ndefu but i prefer train or bus kwa bei yoyote ile,ni luxure na njiani kusema ukweli unaenjoy mandhari na maakuli ni wewe tu,pia kuna vitu adimu ambapo mpaka usafiri huko kwa usafiri huo wa jumuia ndio una faidi,iringa kuna samaki wa kutoka mtera wale mi huwa nchukua tenga zinga,singida lazima ukutane na kuku wa kienyeji walionona,mbuzi na nyama za kukata na shoka hela yako tu.
sasa safari ya vindege hivyo 1 hr utaringishiwa na visoda vyao na vibiscut mpaka ukome.
hapana mi ntasafiri na treni tu au bus ingawa ni risk kwa bus kwani ajali nyingi.
 
Hapa sasa inatumika the law of the jungle, struggle for existence, survival for the fittest. Atakaye shindwa kusurvive anakufa natural death!.
Pasco
TUTANYOOKA TU JAKAYA ALITUACHIA KASUMBA MBAYA, KUTUKANA VIONGOZI, WATU WAKAONA NDIO UPINZANI KWENDA MAHAKAMANI IKAWA FASHION.
 
Hivi Democrats na Republicans huwa wanafanyiana hivi wakati wa kushughulikia masuala ya kuimarisha uchumi wa nchi yao ya Marekani!?? Yaani huwa wanawaza hivi hata baada ya uchaguzi kwisha?
Kuwa kiongozi Tanzania ni raha usiambiwe! Huoni jinsi Rais na wasaidizi wake wanavyotakata? Wanazidi kuonekana vijana! Anaongoza bila stress yoyote; kuongoza watu wasiojitambua na kufahamu haki zao za kiraia, wala huhitaji kutumia akili sana.
Mwangalie Obama alivyozeeka! Yaani ndani ya miaka 8 tu, lakini anaonekana kibabu tayari. Amezeeshwa na kufikiri namna ya kuongoza taifa lenye watu wanaojielewa na lenye chama cha upinzani kinachokwamisha kila mpango wa serikali.
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    29.2 KB · Views: 118
  • image.jpeg
    image.jpeg
    15.9 KB · Views: 123
  • image.jpeg
    image.jpeg
    63.2 KB · Views: 107
  • image.jpeg
    image.jpeg
    21.1 KB · Views: 119
pakiwekwa mipango thabiti usafiri wa ndege utakuwa nafuu kwa wote. hata wanafunzi wa sekondari wataweza kununua tikiti na kusafiri
 
Kwa wale wanaolalamika kwamba watumishi wa serikali hawasafiri niwaambie hivi: watumishi wa uma walikuwa wanatumia fedha za uma hovyo hovyo. Sasa mnataka Magufuli awaache waendelee kutapanya fedha za uma ili kuongeza usafiri wa anga?

Mashirika matatu ndiyo, lakini ndege bado ni chache sana kwa nchi ya watu milioni 50. Wenye akili watatambua tu kwamba ni good economics kusafiri kwa kulipa zaidi kidogo na kufika mapema kuliko kutumia sku nzima njiani na kuwasili umechoka.

There is a realignment of the economy. Fedha zilizotokana na uporaji wa mali ya uma, uporaji wa wanyamapori na biashara za madawa ya kulevya zinapungua. Immoral stimulus funds are facing a squeeze. Time will improve all sectors in a moral way, and this includes the air transportation sector.

Baada ya kubana uchotaji wa fedha za serikali, sasa zitapatikana fedha za kukarabati viwanja vya ndege. Give the President some time, he will get it done. He is, I submit, a doer.
 
Changamoto kubwa itakayoikabili Aviation Industry hapa nchini kwa sasa ni uchache wa abiria huku mashirika ya ndege yakiongezeka.

Sababu ni hizi:

Utamaduni wa mtanzania

Watanzania wengi bado wanakasumba ya kishamba sana na ya kizamani kuwa usafiri wa ndege ni anasa na ni usafiri wa watu matajiri tu.


Leo hii mwananchi wa kawaida mwenye kipato cha wastani ukikata ticket ya ndege kutoka Tabora kwenda Dar watu hawakuelewi na wataanza kuulizana hivi huyu hata kiwanja anacho,wengine watasema unapanda ndege wakati unaishi nyumba ya kupanga,n.k

Hata vigogo wa serikali wengi ukiona wamepanda ndege basi ujue hiyo ni safari ya kikazi lakini safari binafsi atachukua basi na wengine hata mabasi ya bei chee na sio luxury.

Wakati mwingine hata mtu akichukua likizo na akaamua kupanda ndege kuelekea mikoa ya pembezoni kusalimia ndugu na jamaa kijijina kwao basi hufanya hata siri maana ndugu/wazazi hawatamuelewa na badala yake watamuona anafanya anasa kwa kupoteza fedha ambazo angeweza kusaidia wazazi au ndugu zake huko kijijini aendako.

Serikali kubana matumizi


Hivi sasa serikali imeamua kubana matumizi kiasi cha kupunguza OC katika Mashirika na Taasisi nyingi za serikali.

Athari ya sera hii ya kubana matumizi kwa biashara ya usafiri wa anga hapa nchini ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya watumishi wa serikali waliokuwa wanapanda ndege kwa safari za kikazi za ndani ya nchi.

Kwa mfano,siku za nyuma CEO wa Taasisi ya umma yeye na maafisa wake kadha walikuwa wakikata ticket za ATCL kwenda mikoani kuhudhuria maafali katika chuo kinachoendeshwa na taasisi anayoingoza,kufanya uzinduzi,kukagua utendaji kazi mikoani n.k. Hivi sasa wengi bila shaka wanalazimika kutumia magari ya ofisi au hata public transport.

Kipato kidogo cha watanzania


Watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini huku wakikabiliwa na majukumu mengi ya kimaisha kiasi kwamba unaweza ukaweka nauli ndogo ila bado wengi wakashibdwa kumudu gharama hizo.

Kwa mfano,hata ukiweka nauli ya ndege ya sh 50,000 kwa safari ya Dar-Dodoma wakati kuna Shabiby ya 20,000 wengi hutwaona sio kama hawapendi ila tatizo uchumi hauruhusu na huko anakokwenda bado kuna gharama zinamsubiri.

Hivyo kwa hali hii,hata ukishusha nauli bado itakuwa ni vigumu kupata abiria wa kutosha kujaza ndege za mashirika matatu au zaidi kwasababu abiria hao wa kuwavutia nao ni wachache ukilinganisha na mashirika yaliyopo na bei ikishushwa kuputs kiasi hiyo tena haitakuwa biahara bali ni kua mashirika haya.

Viwanja vichache vya ndege vilivyopo


Hili nalo ni tatizo lingine ambalo litajikozea iwapo ushindani wa biashara ya ndege utaongezeka hapa nchini.

Hii ni kwasababu,viwanja vichache vya ndege maana yake ni kuwa, destination zitakuwa chache huku mashirika ya ndege yakiongezeka na hivyo mwisho wa siku mashirika haya yatajikuta yana tatizo la kuwa na destinations zisizowatosheleza kufanya biashara kwa mafanikio na kwa ushindani wenye afya maana bila destination za kutosha tafsiri yake ni kwamba hakuna biashara.

Ubovu wa baadhi ya viwanja


Ubovu wa baadhi ya viwanja nako kutachangia baadhi ya mashirija kushindwa kupeleka ndege zao katika baadhi ya mikoa/maeneo na hivyo kuyafanya mashirika haya kutegemea viwanja vichache vilivyopo kuendesha biashara hii jambo ambalo si zuri kibiashara kwao kwani watakuwa na viwanja vichache vya kufanya biashara ili hali mashirika yanaongezeka.

Shughuli chache za kiuchumi,kijamii na kibiashara mikoani

Uwepo wa shughuli za kiuchumi, kijamii na kibiashara kama vile mikutano, washa, makongamona ,mikutano ya wasomi na wataalamu mbalimbali,miradi mikubwa ya kimaendeleo, n.k, huweza kuchangia kupatikana kwa abiria wanaosafiri kwa ajili ya kwenda kufanya au kuhudhuria shughuli za aina hii sehemu mbalimbali za nchi..

Sasa kwa nchi yetu shughuli za aina hii mara nyingi hufanyika katika mikoa ya Dar-es-salaam, Arusha, Mwanza na Zanzibar tu huku serikali nayo ikipiga marufuku shughuli za aina hii kwa watumishi wake.

Ukweki ni kuwa, kwa nchi yetu kuwa na mashirika mawili au matatu yanayochuana vikali katika biashara hii ya ndege ni vigumu yote ku-survive na itafika hatua baadhi ya mashirika yajitoa tu.

Iwapo mashirika binafsi ya ndege nayo yataamua kushusha zaidi nauli au kuleta ndege ambazo nazo zitatumia mafuta kidogo, sitashangaa wakati ukafika seriali ikajikuta inalazimika kutoa fedha na kuikopesha ATCL ili imudu ushindani.

Tunaweza kuwa na ushindani lakini sioni uwezekano wa kuwa na ushindani wenye afya katika biashara ya ndege kwa safari za ndani hapa nchini.

Kuna baadhi ya mashirika yatalazimika kujitoa na mengine yatalazimika kuangalia safari za nje ya nchi kama yatataka kubakia katika hii biashara.

Wengi kwa sasa hamtanielewa ila muda utaongea.
HAPO JUU NIMEBOLD ILI NIKUAMBIE WEWE NI MSHAMBA NA MJINGA KULIKO WAJINGA WOTE ULIVYOONA WEWE SIJUI ULIPANDA KANDEGE GANI UKASEMA KWENU BASI IKAWA NONGWA UNADHANI WATANZANIA WOTE WAKO HIVYO ??? KILICHOKUWA KINASUMBUA NI UHAKIKA WA NDEGE NA SIYO USHAMBA WA WATANZANIA KAMA ULIVYOTUTUKANA. VIWANJA NI KWELI TATIZO AMBALO MZEE AMESHALIONA NA UKARABATI UNAENDELEA VIWANJA VINGI VYENYE UMUHIMU KULINGANA NA ENEO KILIPO. SEMINA NA OC KUPUNGUZWA KUEONGEZA FEDHA KWA WAFANYA BIASHARA WENGI SASA WANALIPWA MADENI YAO NA UCHUMI UTAKUA WEWE UNAONGELEA WAPANDA NDEGE KWA FEDHA ZA WIZI SISI TUMEKUWA TUKIPANDA NDEGE KWA FEDHA ZETU HALALI NA KUNA WAKATI PIA NDEGE ZILIKUWA SHIDA. UTAFITI WAKO UMEUFANYA KWA KUTUMIA NAFASI YAKO NA FAMILIA YAKO ILIVYO NDIYO UKADHANI NI WATZ WOTE POLE NA LUGHA YAKO NI CHAFU SANA UNAITA WATANZANIA WASHAMBA HUNA ADABU.
 
ila serikalini watu walikuwa wanapiga hela sana. fikiria eti Bodi taasisi za umma wanaenda tour dubai, beijing na paris mwezi mzima ,tiketi za ndege (Emirates si Ethiopian) BUSINESS CLASS, 5 star hotel siku 30 duuh!
 
Magufuli anawatesa sana........kutoka kupayuka ''nchi gani haina ndege'' hadi kufikia kukataa ndege.Kapimwe akili.
tulitaka airbus A380 na Boeing 747 si haya mapangaboi. Hela za kuwalipa wahun kila sik 400m mnazo na amchelewei kuwalipa.

Shame on you
 
Back
Top Bottom