Hakujua impact ya ajali

Hakujua impact ya ajali

Djprezzo

Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
17
Reaction score
7
Mzungu mmoja asubuhi hii aligonga daladala akajaribu kukimbia maeneo ya msikitini upanga karibia na muhimbili,
Katika harakati za kukimbia akapiga kona moja ili awapoteze wale wenye daladala majanga yakamkuta

Inasemekana alikua amelewa maana alikua anayumba barabarani.
 

Attachments

  • 1416454155315.jpg
    1416454155315.jpg
    88.2 KB · Views: 158
  • 1416454172631.jpg
    1416454172631.jpg
    96.5 KB · Views: 132
  • 1416454199290.jpg
    1416454199290.jpg
    106.3 KB · Views: 132
Dah! Wenye dala dala wakipewa hiyo tairi tu si yatosha kurekebisha alipoharibu?? Labda hana leseni au alikuwa na mchepuko wake huyo ndo maana alikimbia kuupoteza ushahidi mkewe asimpe talaka
 
Back
Top Bottom