MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Source: Michuzi blog
Alitakiwa kufanya hivyo siku nyingi baada ya kuchemsha wakati alipotoa dhamani hovyo hovyo. Amechelewa sana, lakini walau amegutuka kuwa haweza kuendelea na hiyo kesi baada kuonesha upoe mdogo wa kushughulikia kesi kubwa. Isijekuwa ameshinikizwa na wakubwa wake!!