Hakimi hana noma ila masuala yote ya miamala anakwambia ngoja tucheck na Bi Mkubwa tuone anatusaidia vipi, si unajua Mama Mtu mimi mipango sina😀 View attachment 3404357
Half sijui ndio fasheni ..kwani wacheza hao especially Islam hawaoni wanawake Wazuri wa kiislamu waliojisitiri vizuri wanaojua maana ya ndoa na familia wawaoe? Wanaoa makapi na manunga embe hayo..mtu unatembea uchi mtaani...unasema umevaa nguo...ustaa wa kipumbavu ...
Hakimi hana noma ila masuala yote ya miamala anakwambia ngoja tucheck na Bi Mkubwa tuone anatusaidia vipi, si unajua Mama Mtu mimi mipango sina😀 View attachment 3404357