Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,290
- 10,869
Hii duniani ya sasa ukisema unamtegemea Mungu pekee yake utakua msindikizaji hadi unaingia kaburini,
Mungu mshukuru kwa kukuleta dunia lkn waja wakitaka kukuondoa wanakuondoa hata Kabla ya siku zako.
Waja wakitaka usipate riziki hupati utaambulia hela ya dagaa tu.
Waja wakisema biashara yako isinunulike hainunuliki.
Waja wakisema ukalime, ukapalilie na ukavune mashamba yao bila ujira na hiari yako utafanya tu.
Waja wanaweza kukufanya lolote muda wowote.
Hivo zingatia title ya uzi, ukijiona amri 10 za Mungu huzitimizi basi haupo salama unapumua Sababu waja wanataka upumue
Nawasilisha
Mungu mshukuru kwa kukuleta dunia lkn waja wakitaka kukuondoa wanakuondoa hata Kabla ya siku zako.
Waja wakitaka usipate riziki hupati utaambulia hela ya dagaa tu.
Waja wakisema biashara yako isinunulike hainunuliki.
Waja wakisema ukalime, ukapalilie na ukavune mashamba yao bila ujira na hiari yako utafanya tu.
Waja wanaweza kukufanya lolote muda wowote.
Hivo zingatia title ya uzi, ukijiona amri 10 za Mungu huzitimizi basi haupo salama unapumua Sababu waja wanataka upumue
Nawasilisha