Hakika wanawake ni viumbe dhaifu!!!

Hakika wanawake ni viumbe dhaifu!!!

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,775
Wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu Nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa Mume atamtawala mke......Mke atatii.....Mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕😀😀😀😀😱 Dah.... poleni sana. Ila maadhimisho mema

1Timotheo 2:12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
 
we hamnazo kweli? kama wa2 wote wangefikiri kama ww bac hata wanaume nao wana siku moja au haujui kama kuna father's day? na haya ni maadhimisho ya cku ya wanawake, acha umbulula
 
Huyu naye tunategemea awe baba wa familia halaf kiongozi wa familia...... Akili za dafu
 
Women are Special and always BE.
 

Attachments

  • 1425808544167.jpg
    1425808544167.jpg
    102.1 KB · Views: 811
Wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu Nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa Mume atamtawala mke......Mke atatii.....Mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕😀😀😀😀😱 Dah.... poleni sana. Ila maadhimisho mema.

1Timotheo 2:12 -"Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya".
 
Kha,,,,,,kivipi??

Eti siku ya wanawake iko moja tu ambayo ni march 8

hadi mama na dada zako sio
??????

Mwalimu wako ana kazi we mbulula haya ni maadhimisho

mmh sio kweli

we hamnazo kweli? kama wa2 wote wangefikiri kama ww bac hata wanaume nao wana siku moja au haujui kama kuna father's day? na haya ni maadhimisho ya cku ya wanawake, acha umbulula

Huyu naye tunategemea awe baba wa familia halaf kiongozi wa familia...... Akili za dafu

1Timotheo 2:12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
 
1Timotheo 2:12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.

ngoja nimwambie wife aipitie hii 1Timotheo 2:12
 
Na hata kwenye Bible inafundisha kwamba mwanamke ni dhaifu cku zote sas tunashangaa wanataka 50/50 itatoka wp?wao wanabeba sis tunawabebesha wp na wp?
 
wadau yaniktk siku 365narobo/366 kwamwaka, wanawake wanayo cku 1 tu nyingine zote haziwahusu na ikifika wanaandaa maadhimisho wanajaribu kujilinganisha na wanaume. Mwanaume ni mwanaume tuu na atabaki kuwa mwanaume. Imeandikwa mume atamtawala mke......mke atatii.....mume atapenda. So kazi yenu ni kutii watawala wenu (wanaume) 😕😕😕:d:d:d:d😱 Dah.... Poleni sana. Ila maadhimisho mema

1timotheo 2:12 simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya.


subiri wenyewe waje,,,,patawaka moto leo hapa
 
Back
Top Bottom