Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Walianza mmoja mmoja na hatimaye sasa linaonekana kuwa jeshi kamili linalotishia kujitwalia dola!! Nasema hivyo kutokana na ukweli kuwa vuguvugu za waislamu sio kwamba zimekuja ghafla, bali ni mkakati mwendelezo ambao ulianza kuratibiwa na watu wachache na hatimaye sasa wanatishia kujitwalia mamlaka.
Walianza kwa majaribio tu! Kwa kuanza kufanya mihadhara isiyo na kizuizi, kuandamana toka buguruni hadi jangwani bila kibali na hawakuguswa, likaja tukio la kuvamia makao makuu ya Wizara ya mambo ya ndani na kutoa amri kwa dola kuwaachia huru wote waliovunja sheria halali ya kukataa kushiriki sensa, na kweli serikali ikafyata mkia! Baada ya kuona huko kote wamefanikiwa, ikaonekana haitoshi na sasa wanatinga Ikulu. Tobaa!
Hakika ukimchekea nyani utavuna mabua! Rais wetu umepewa hadhari mara nyingi na wapenda amani lakini wewe uliishia kucheka tu na kusema hizo ni pepo za kupita, Je, leo yako wapi?