Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 715
Pole sana ndugu
Innalillah Waina Ilaihi Rrajiun.poke ALLAH AKUPE UVUMILIVUHabari,
Katika maisha ya binadamu kuna mapito ambayo huwezi kuyapitia nami siku ya jana na leo huenda zikawa siku ngumu zaidi maishani mwangu kwa kupata wagonjwa 3 kwa kipindi kimoja na ote kuwa hoi kwa wakati mmoja.
Kwa sisi waislamu ugonjwa ni ibada lakini hakuna kitu kinachouma kama unampeleka mgonjwa hospital alafu anawekewa mpka oxygen lakin hamuambiwi tatizo ni nini.
Wagonjwa wenyewe ni baba yangu mzazi,baba yangu mkubwa na mjomba wangu ote wa familia moja.
Tumepambana tuwezavyo jana saa 2 asubuhi amefariki baba yangu mkubwa,wakati tunaandaa mwili,mjomba nae amefariki.
Tukiwa katika hali ya kuendelea na taratibu nyengine asubuhi hii baba yangu amefariki.
Wagonjwa ote ilibidi wawekwe I.C.U kati ua hospital ya regency, hindu mandal,na tmj lakini zote I.C.U zilikuwa zimejaa.
Kwa upande wa mochwari ningeomba nikae tu kimya
Yarrab naomba nipe nguvu katika kipindi hiki kigumu
Sijui kama kuna mtu anaweza kujiombea mabaya yeye mwenyewe kama haya yalio mfika mwenzetu. Kama yupo! kwenye ubongo wake kutakuwa na nyaya zimekatika, tumpe pole tu. Maana kama ameamua kudanganya katika ulimwengu huu hawezi kukosa picha za kutuonyesha.
swali.kwann Hawa mabeberu wanatuzonga,na kututolea na kutusakama Sana kwa kukataa chanjo zao?.Mtu ukiweza kukaa ndani kaa ndani. Na mbaya nchi tumekataa chanjo za mabeberu.
sikuhiz kumbe akili zimekuludi.Umecopy na kuja kupaste. Niliisoma jana kwenye group la whatsapp
Maana hata Mja mwenyewe hapendi ambo ya uzushi! Ndiyo maana amewaandalia sehemu ambayo watakaangwa kama maandazi ya kumimina?Pole Sana mkuu..lkn hii issue ni sensitive how did you get a time to write here... I hope ungekua kwenye mojonzi ...yote kwa yote pole Sana mkuu
Sawatusije kuangamia kwa kukosa maarifa tukifukize ,vitamin c kwa wingi na zoezi la kutosha huku tukitumia anticoaglant aspirini ama wafarine$heparine huyu n mdudu tyu
Jamaa anafanya usanii kwenye story ya mwenzie. Ame copy na kuja kupaste huku.Pole Sana mkuu..lkn hii issue ni sensitive how did you get a time to write here... I hope ungekua kwenye mojonzi ...yote kwa yote pole Sana mkuu
Ila Jasmoni Tegga Mungu anakuona,Tulia hivyohivyo, sawa!??? Ondoa hofu, usidanganywe na madalali hawa wamelipwa ugoro