Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Acha kupotosha mkuu. Mimi nina ndugu 4 walimu (3 ni wadada na wameolewa).1.wengi wao wana poor financial background hivyo ni rahisi kulaghaiwa hasa akikutana na mwanaume materialist.
4.jiandae kujenga ukweni ulimuona
5.jiandae kuwa na extended type of family
1. Wazazi wetu sio maskini, Mungu kawapa uwezo wa kutulea na kutusomesha. Hapa umegeneralize vibaya!
4. Hakuna shemeji anayejenga kwa wazazi wangu. Wazazi wetu wanafanya kazi na sisi watoto wao ni wajibu wetu kuwatunza na SIO wa wengine.
5. Hakuna extended family. Kila mtu anaishi kwake na familia yake na tunakutana kwa wazazi kuwasalimia.
Watu huamua kusomea fani fulani kwa interest zao. Mungu akusaidie akili ya kufikiria vyema!