MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 145
Serikali imetangaza Rasmi siku tatu za Maombolezo kitaifa kwa Bendela ya Taifa kupepea Nusu Mlingoti...kuanzia kesho hadi J3
Mungu awatie Nguvu wafiwa na wahanga wa Ajali hii ya MV Nyerere, Mbele yetu Nyuma yao kesho yetu ni Giza Nene.... R.I.P
Mungu awatie Nguvu wafiwa na wahanga wa Ajali hii ya MV Nyerere, Mbele yetu Nyuma yao kesho yetu ni Giza Nene.... R.I.P