HAKIKA: Juventus ikimfunga Madrid UEFA naitoa nyumba yangu bure.

Tuanzie hapa kwanza…
Madrid 6-2 Napoli
Madrid 6-3 B.munich
Madrid 4-2 Atletico
Madrid 4-0 Granada
Madrid 6-2 Derpotivo
Madrid 4-1 Valencia
Madrid 4-1 Celta Vigo(Hawa waliahidiwa bonus na Barcelona iwapo wangeshinda hii game ila CR kwa msaada wa Isco kapiga 2)

Madrid ?-? Juventus
Numbers never lie!!
Tusubiri tuone...mwezi ujao si mbali.
 
Kuna ''taboo'' ya Bingwa Mtetezi kuchukua Ndoo ya UCL back-to-back. Juventus atawabwaga wale jamaa. Pia beki ya Madrid inavuja kimtindo na kuna hatihati wakapokea kichapo.
 
Kuna ''taboo'' ya Bingwa Mtetezi kuchukua Ndoo ya UCL back-to-back. Juventus atawabwaga wale jamaa. Pia beki ya Madrid inavuja kimtindo na kuna hatihati wakapokea kichapo.
Juve hataweza kumpiga Madrid kwenye UEFA mkuu.
 
Habarini Wadau,

Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.

Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.

Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.

Anybody to bet ?
Weka picha ya hiyo Nyumba nisije bet elfu 50 kumbe INA thaman said ya hiyo kibanda
 
Habarini Wadau,

Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.

Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.

Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.

Anybody to bet ?
Labda kama unatania Ila kiuhalisia Madrid anakufa June,3
 
Mkuu hakuna kiungo hovyo kama ya Juve tokea aondoke Pogba.

Yaan ball position wataachwa mbali na bado watapigwa goli kuanzia 3.

Cr7 kama kawa....!
Timu imefika fainali unaiita mbovu? Timu imemchakaza Barcelona unaiita Mbovu? Jiandae kupata maumivu
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom