Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Kesho asubuhi njoo Lugalo nitakuonyesha pakunyeaNaweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
Kesho asubuhi njoo Lugalo nitakuonyesha pakunyeaNaweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
Mkuu kesho unayajaza saa ngapi getiniNaweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ?
Madrid sio wa kuwachukulia poa. Tena JUVE wakilegea wanaweza kuoga mabao.
Kuepusha Stress, Madrid mabingwa UEFA mwaka huu.
Naweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
ft.real 4-1 juveKaka utagombana na MWENYE nyumba wako..
Nyumba imepona kama kweli ipoHabarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ?
hahahahahahah!...dah mkuu unaenda kuwa nani kibiti,,wakakutafune mabandamaMadrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti
Mkuu ushatimiza ahadi yako?Naweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
Madrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti
Mkuu nafikiri Sasa HIV ishafika kibitiMadrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti
lakini umeona mpira ulee?ulitakiwa ubakize maneno mdomoni sio kuyamaliza mhahahahahhaHaha kwa mpira upi Madrid ampige juve,,nyumba yako kaa nayo ila Madrid hamuwezi Juve
jana je nani kapigwa sana?Na mie pia napenda Real Madrid washinde,lakin my friend record ya mechi ya Juventus na Real Madrid ni ya ajabu kidogo.Madrid uwa anapigwa sana.