HAKIKA: Juventus ikimfunga Madrid UEFA naitoa nyumba yangu bure.

We mkali Mkuu, nyumba yako imepona.

Habarini Wadau,

Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.

Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.

Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.

Anybody to bet ?
 
Back
Top Bottom