Madrid chini ya zidane weka mbali na watoto aiseHawawezi thubutu hata hiyo...!
Juventus wako vizuri but Madrid wako vizuri mno narudia tena wako vizuri MnoNi hatari sana.
Umeelewa wewe ujinga Wa kiwango cha PhDDitel Details
Kajifunze kuandika kwanza kisha urudi.
unawezaje kufanya utani na ishu ya kibiti wakati kuna watanzania wenzako 31 wameshapoteza maisha? haikufikirishi?? WATANZANIA WENZAKO 31Madrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti
Ronaldo, benzima ma wengine watakuwa chini ya ulinzi mkali wa Bonucci.Madrid chini ya zidane weka mbali na watoto aise
kumbe unataka nipigwe ban wakipiga ban nafungua mpya ndani ya dk 5 nyingiCc Invisible; moderator
Cc; Invisible; moderator; Mhariri; Paw; Fangkumbe unataka nipigwe ban wakipiga ban nafungua mpya ndani ya dk 5 nyingi
maskiniii daahkumbe unataka nipigwe ban wakipiga ban nafungua mpya ndani ya dk 5 nyingi
Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ?
Hahaha,Madrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti