Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,113
- 34,071
- Thread starter
- #141
Ndio nipo tayari kabisa na nipo very serious, hati miliki ninayo kabisa.50,000/- sina ila hiyo nyumba yako naitaka Mkuu, maana ya Mungu mengi vipi tunaweza kuandikishana??
Kama unajiamini mi naweka jiwe wewe unaweka hati
Kesho nakutafuta lete hati au mkataba wa manunuzi ya kiwanja nami nitatoa elfu hamsini na mashahidi tuviache kwa mwanasheria, baada ya matokeo yeye anakabidhi tu.