Hakika huyu binti ni mrembo

Hakika huyu binti ni mrembo

Kunajarida la kimarekani niliona wanamuohoji Huyo mtoto she is a young siggle mother with one arm..!!insta kanaitwa @hash2happy
 
Dunia ina mambo mengi sana ya kushangaza!
 
8916ce785debb012774b9f52ca82c5f3.jpg

cf48d849d23719f745b43021b9758982.jpg

Hiyo picha yake ya kwanza akiwa amekaa uso wake na nywele ni kama Kasie alivokuwa mschana miaka hiyooo.
 
Kilichokufanya mwanamke nini maana huna mume..?? A

Nimeandika jibu halafu nimelifuta.

Nimeona nikujibu kwa swali, uliwahi kuona taswira ya mama Teresa(RIP) akiwa mschana na mzee?

Swali jingine......

Ulishawahi kuiona taswira ya Oprah akiwa mschana na alivyo hivi sasa? Japo yeye amajiremba na kujiweka umaridadi aka kujitunza.

Kama hujaona taswira zao kwa nyakati hizo mbili tofauti wakiwa waschana na wazee basi uzitafute ukishaziona uje tena uniulize swali lako.
 
Hapa TZ watu wengi wanachanganya kati ya uzri na umaarufu. Yaani msichana/mwanamke akionekana kwenye filamu au kwenye magazeti tayari yeye ni mzuri.
 
Hapa TZ watu wengi wanachanganya kati ya uzri na umaarufu. Yaani msichana/mwanamke akionekana kwenye filamu au kwenye magazeti tayari yeye ni mzuri.
 
Wote warembo

Wazuri kwa macho


Tamu kwa moyo


MAISHA MAFUPI,SUPPORT WENZAKO-UKIFURAHIA MAISHA YAKO 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom