REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,160
- 11,263
Wadau nimeleta hii kwenu ili mnisaidie je jamaa chumba cha jirani anajua sana au hajui mambo
Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani
Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia
Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia
Hakika chumba cha jirani ni shida
Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani
Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia
Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia
Hakika chumba cha jirani ni shida