Hakika chama changu CCM sasa kimezeeka

Hakika chama changu CCM sasa kimezeeka

Mkuu huku kujengeana majumba ni utaratibu tu(sina uhakika kama upo kwenye katiba), Haya yote yote hayalisaidii taifa lazima kufanyike mabadiliko hasa ya kifikra ndani ya chama
Swali lake ni kuwa kwanini haya haukuyaongea wakati mwendazake bado yuko Chamwino?
Hebu mjibu hilo swali.
 
Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.
Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi,isunula,nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.
KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.
WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia

Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
Asante ndugu. Hayo ni mahekalu na magari ya kifahari. Eti wanetumikia taifa, walikaa bure wakiwa tangu mawaziri hadi urais. Wanahela chungu mzima. Wanapension kiboko, watumishi etc. hivi kuku/bata gani alianzisha hiyo sharia. Juzi tuliambiwa serikAli haina hela, wao wanahela zao tu JK Ana Nyumba ngapi? Huyo alikuwa waziri wa madini wakati wa madudu ya contracts. Ana hela kibao. Jamani, this is a joke! Tuamke jamani. They don’t deserve such generous pensions.
 
Chama cha maibilisi kijani kibichi ni empty head tabulalasa kwelikweli .
 
Asante ndugu. Hayo ni mahekalu na magari ya kifahari. Eti wanetumikia taifa, walikaa bure wakiwa tangu mawaziri hadi urais. Wanahela chungu mzima. Wanapension kiboko, watumishi etc. hivi kuku/bata gani alianzisha hiyo sharia. Juzi tuliambiwa serikAli haina hela, wao wanahela zao tu JK Ana Nyumba ngapi? Huyo alikuwa waziri wa madini wakati wa madudu ya contracts. Ana hela kibao. Jamani, this is a joke! Tuamke jamani. They don’t deserve such generous pensions.
Na usikute walikaa kamati kujadili zawadi
Na tuna vijana wanaojinasibu kuwa wao ni wasomi
 
Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.
Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi,isunula,nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.
KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.
WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia

Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
Ndani ya CCM hakuna mwenye nia njema na wananchi wote ni wachunaji
 
Ndani ya CCM hakuna mwenye nia njema na wananchi wote ni wachunaji
Na hili wameambukiza mpaka vyama vingine,na kada mbalimbali serikalini,mtu ukipewa kitengo unawaza kuvuna tu
 
Back
Top Bottom