Hakika chama changu CCM sasa kimezeeka

mtimawachi

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
2,017
3,037
Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.

Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?

Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?

NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.

Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi, isunula, nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.

KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.

WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia

Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
 
Tatizo siyo Katiba --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo Sisiemu -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo chama --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo nchi -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo majumba, mabenzi wala nini --- tatizo ni Bi Mkubwa. Umenielewa sasa!???
 
Tatizo siyo Katiba --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo Sisiemu -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo chama --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo nchi -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo majumba, mabenzi wala nini --- tatizo ni Bi Mkubwa. Umenielewa sasa!???
hao viongoz wametokea kwenye mfumo gani?
chama gani? na yuko hapo kwa katiba ipi?
 
Hivi wabongo tukoje?? Jumba hili alienda kulikagua aliyekuwa rais wa awamu ya tano marehemu JPM(R.I.P.) na ilitangazwa na kuoneshwa na vyombo mbalimbali vya habari. Cha ajabu hatukuona malalamiko ya aina yoyote.

JPM ameondoka kelele kibao. Ilikuwa ni uoga au ni unafiki unazingua?
 
Tatizo siyo Katiba --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo Sisiemu -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo chama --- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo nchi -- tatizo ni viongozi. Tatizo siyo majumba, mabenzi wala nini --- tatizo ni Bi Mkubwa. Umenielewa sasa!???
Tatzo msoga nako mbali
 
Hivi wabongo tukoje?? Jumba hili alienda kulikagua aliyekuwa rais wa awamu ya tano marehemu JPM(R.I.P.) na ilitangazwa na kuoneshwa na vyombo mbalimbali vya habari. Cha ajabu hatukuona malalamiko ya aina yoyote. JPM ameondoka kelele kibao. Ilikuwa ni uoga au ni unafiki unazingua?
Mkuu huku kujengeana majumba ni utaratibu tu(sina uhakika kama upo kwenye katiba), Haya yote yote hayalisaidii taifa lazima kufanyike mabadiliko hasa ya kifikra ndani ya chama
 
hao viongoz wametokea kwenye mfumo gani?
chama gani? na yuko hapo kwa katiba ipi?

Logically, usiishie kuuliza chama na mfumo. Uliza pia: Wametoka nchi gani!??? Bara gani!??? Sayari gani!??? Your thinking capacity can be rightly likened to a sinking defective capacitor.
 
Hivi wabongo tukoje?? Jumba hili alienda kulikagua aliyekuwa rais wa awamu ya tano marehemu JPM(R.I.P.) na ilitangazwa na kuoneshwa na vyombo mbalimbali vya habari. Cha ajabu hatukuona malalamiko ya aina yoyote. JPM ameondoka kelele kibao. Ilikuwa ni uoga au ni unafiki unazingua?
Mkuu huku kujengeana majumba ni utaratibu tu(sina uhakika kama upo kwenye katiba), Haya yote yote hayalisaidii taifa lazima kufanyike mabadiliko hasa ya kifikra ndani ya chama
 
Logically, usiishie kuuliza chama na mfumo. Uliza pia: Wametoka nchi gani!??? Bara gani!??? Sayari gani!??? Your thinking capacity can be rightly likened to a sinking defective capacitor.
Naona umetema ung'eng'e balaa,si ungekua tu mwalimu wa mwendazake maana kwake ulikua mashikoro mageni
 
8e029ad695f113c804f93a9f0f9d0cea(1).png

😁😁😁
c090f25e65ce103d2d3afcc9ded79b51.png

Ila Chama Cha Mapinduzi aisee 😁😁😁! Ona kinavyowavalisha wazee makofia makubwa makubwa, sijui ndio inakuaje!
 
Ata wastaafu ni raia, wacha wale mema ya nchi, hayo ndio mafao yao
Hakuna aliyewakataza kula,ila wajue kula na kipofu,Mfano kuna ulazima gani wa kuwajengea au kuendelea kuwalipa mshahara kwa taifa lilojaa madeni na upungufu wa huduma za kijamii?
 
Logically, usiishie kuuliza chama na mfumo. Uliza pia: Wametoka nchi gani!??? Bara gani!??? Sayari gani!??? Your thinking capacity can be rightly likened to a sinking defective capacitor.
haha bullshit. bara na nchi havikufanyi uwe low end unproductive leader. mfumo.
mfumo unaweza ukatoa very weak leaders or strong. mfumo kuanzia ngazi ya familia, ngazi ya jamii, ngazi za elimu, mpaka mifumo ya kisiasa na kiungozi.
wakivurunda hawa , there is no hiding.
product zitaonekana tu.

and for the record tu my thinking capacity doesnt concern you or your failure to recognize true failure of system. creating random point and hide behind it.. that not smartnerss that childish bro.. get you*** together.
 
Hakuna aliyewakataza kula,ila wajue kula na kipofu,Mfano kuna ulazima gani wa kuwajengea au kuendelea kuwalipa mshahara kwa taifa lilojaa madeni na upungufu wa huduma za kijamii?
Ulazimaa upo na ndio maana wanalipwaaa hivyo wanavyolipwa, ile ni top job ata baada ya kumaliza mda wako uwezi kuwa sawa ni watu wengine, hivyo baasi hiko unacholazimisha hakipo
 
Bila kupepesa macho hapa nainyooshea kidole CCM,ambacho mimi ni mshabiki wake.
Tatizo ni nini hasa? mmekosa washauri? hamna tena watu wa kuona mbali japo hatua hata mia moja!?
Hivi kwanini kushiba/kushibishana nyinyi tu?
NAKIRI hatuna upinzani madhubuti lakini kisiwe kigezo cha kuwanyanyasa wananchi.
Mfano huu utaratibu wa kujengeana nyumba,kupeana mizawadi ya gharama,mtu kuendelea kupokea mshahara licha ya kuwa amestaafu wakati vijiji kama mtimbwilimbwi, mawindi,isunula,nakopi, ndechela nk havina huduma muhimu ni aibu.
KWA hali ilivyo sasa nilitegemea chama kijikite zaidi kwenye kuisimamia serikali iboreshe huduma za kijamii na sio kuitafuna nchi.
WANANCHI tunajitahidi kufanya kazi lakini serikali inatuangusha kwa kutapanya kile tunachochangia

Asanteni,
NB:TUNAHITAJI FIKRA MPYA ZA KUNUFAISHA TAIFA CCM sasa imezeeka
mtajuana wenyewe maccm
 
Back
Top Bottom