Hakika anaumwa tumuombee apone

Hakika anaumwa tumuombee apone

Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Dirty mind!!!!You might be a mere walking corpse!!!!
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Huteuliwi ng 'oo..... Hata ukijipendekeza
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.



Tundu Lisu ni psycho!
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.




wewe kitendo cha kupigwa risasi Lissu hujakifurahia? Ukweli ni kwamba kinachokuuma ni Lissu kuendelea kuwa hai, mlikusudia mabaya sasa mna hasira sana, nadhani mmefikia kiwango cha kumchukia Mungu aliyemponya. Kwa nini mlikuwa mnawazuia na kuwakamata watu waliokuwa wanamwombea Lissu? Mna pepo baya sana. Uongo gani wa kujifanya kuwa mna uchungu na nchi wakati miaka 50 mmeila ninyi maccm?
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Shetani na ushetani hujibainisha wenyewe. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa wanadamu uwezo wa kulitambua hilo.
 
blix22,
Kama hujijui basi wewe unatakiwa tukupeleke ICU....!!Wewe ndo mgonjwa typical ambaye hujitambui, huoni wala husikii.
Ulichoandika hapa ni upumbaf. ujinga, uzandiki, umbeya na propaganda ambazo hazina tija yoyote kwa Taifa letu....!!
Ngoja nikwambie my friend, ukiwa unaoga mtoni akaja kichaa akabeba nguo zako kama wewe una akili TIMAMU, hutakurupuka kuanza kufukuzana na huyo kichaa baali busara itakutuma UCHUTAME mpaka hapo mtu mwingine mwenye akili TIMAMU atakapo kustiri na nguo yake ili utoke mtoni....!!!Unanielewa???

Sasa twende kwenye mada ya Tundu Lisuu:
Unazungumzia Lugha: Swahili or English....!!!Kwa akili mbovu uliyonayo kama Lissu angetumia English ilikuwa ni kuishtaki Serikali ya CCM na Magufuli kwa mataifa ya nje which is very irrelevant and immaterrial! Hivi wewe unafikiri magazeti yote ya Kiingereza yanapoandika habari zake huwa habari zote za wahusika zimekusanywa kwa Kiingereza?? Kampuni ya Magazeti inaweza kupeleka mwandishi wa Kiswahili lakini habari ileile wakaifasiri kwa Kiswahili ikibeba the same content au kinyume chake..!! Hivo language is not an issue here...!!

Watu siyo wapuuzi na wajinga kama wewe! Watu wako updated na kila news inayotokea whether in Tanzania or Kenya and anywhere in the World. Tukio la kupigwa risasi 38 kwa Mhe. Tundu Lissu zilitikisa dunia nzima and people all over the World are still watching what's going on...!!!
Kuhusu Samia Suluhu kwenda kwa Lissu alifanya kupitia tu hospitali ya Nairobi na kama asingelikwenda kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta asingelienda. Tunaona una mtetea Job Ndugai kuwa alikwenda hospitali pale Dodoma na Ummi Mwalimu baada ya Lissu kupigwa risasi ni kweli!! Je, baada ya hapo nini amefanya huyo Spika wa Bunge?? Kulingana na Lissu hata ile fedha ya matibabu ya Lissu kama haki yake kama Mbunge wa BJMT bado haijalipwa/kulipwa mpaka leo!!

Kuna siku Umi Mwalimu-Waziri wa Afya alijitokeza mbele ya media akidai kuwa serikali ipo tayari kulipia gharama zote za matibabu ya Lissu popote pale duniani..!!!Lakini ukweli wenyewe mpaka leo hii hakuna walichofanya Bunge na Serikali. Kwa watu makini huu ulikuwa ni kuweweseka kwa Serikali baada ya kuona mlengwa wa kupotezwa ameendelea ku-survive kiminujiza...!!Huwezi kushindana na Mungu asilan..!!

Job Ndugai alipoulizwa na Waandishi wa Habari kwanini hajaendda kumwona Lissu alitoa visingizio vya kitoto kabisa...! Kwamba Kenya ilikuwa kwenye Uchaguzi na vurugu ndo maana hajakwenda na akaahidi kuwa baada ya Sikuukuu za Mwaka mpya angelikwenda Nairobi....!!Mpaka leo hajakanyaga huko wala kutuma mwakilishi wa Bunge...!!

Rais Magufuli zaidi ya ku-tweet kuwa anampa pole Lissu na ameagiza vyombo vya ulinzi na Usalama vifuatilie lakini mpaka leo hakuna hata inzi wa kusingiziwa..!!Kuna maswali ndani ya mioyo ya watu kama vile kwanini mpaka leo Jeshi la Polisi halijafanya lolote? Kwanini zile CCTV camera zilizoko kwenye nyumba ya Medard Kalemani- Waziri Nishati na Madini zinazoangaliana na nyumba ya Lissu na eneo alilopigiwa risasi 38 Tundu Lissu zimengolewa?

Kwanini baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi na Watanzania kuamua kujitolea Damu na Maombi lakini Polisi waliinglia kati kuzuia michango ya Damu na Maombi...?? Nani alimtuma IGP Siro na Jeshi la Polisi kuzuia mambo hayo kana kwamba ni makosa ya kijinai..??? Katika hili Ziro na Polisi wake wamekosa weledi au wanatekeleza maelekezo toka juu kuwa wasifanye lolote kwasababu issue inafahamika..!!Maana kama Polisi wana nia ya dhati ya kuwakamata na kuwatambua waliompiga Tundu Lissu kitu cha KWANZA ILIKUWA NI KUCHUNGUZA ZILE CCTV CAMERA MAANA ZITAKUWA ZIMECHUKUA TUKIO LOTE MWANZO MWISHO....!!!Hii kusingizia sijui Interpol wamezuiliwa kumhoji Lissu ni propganda za kishenxx na danganya toto....!!!

Kuhusu kuhojiwa kwa Dreva wa Tundu Lissu ni upuuzi kudai kuwa Polisi wameshindwa kumpata huyo Dreva wa Lisu kwa vile yuko Nairobi..!!Dreva huyu ndiye aliyesaidia kuokoa maisha ya Lissu baada ya kumsukumia alalie upande wake huku yeye akiruka na kuingia kwenye uvungu wa gari lililokuwa pale jirani. Lakini kama hiyo haitoshi, Dreva huyu alikuwepo muda wote tangu Lissu alivyopigwa Risasi mchana ule pale Dodoma na picha zilimwonyesha akiwa ameshikilia nguo za Lissu zilizokuwa zimetapakaa damu. Polisi walikuwa wapi kumkamata huyo Dreva??

Mungu hamfichi MNAFIKI the day is coming when all these barbaric acts shall be revealed in a bright day!!! Kila kitu kitawekwa hadharani..... Time gonna tell....!!

Wasaalamu.
 
Jamani nduguzanguni watanzania huyu Tundu Lissu bado ni mgonjwa na kauli zake zinazopingana zenyewe inaonyesha hata akili yake imecheza kwa maana ya kwamba haijakaa sawa .Mambo anayoyaongea siyo ya kuyafuatilia na kuyatillia maanani.Na ndiyo maana hata katika imani nyingine mgonjwa aliyechanganyikiwa akiandika wosia wake unapuuzwa.
Umeongelea mambo mawili tu, salam na uchunguzi. Hujaongelea serikali kuhusika na Magufuli kusema mtu anayeikosoa serikali asiachwe anatembea
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kuandika upuuzikweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Nina hakika mgonjwa ni wewe na waliokutumia kuandika propaganda hii. Jiulize umefanikiwa kupata nini kwa porojo hii?

Nilichojiridhisha una ujasiri wa kuandika upuuzi kwa ufasaha. Ukitumia uelewa huu kusikiliza ubongo wako kuandika ungekuwa na mchango mzuri.

Nakushauri rudisha mikono ya saa nyuma uwasaidie wasiojulikana kukamilisha mradi wenu wa uovu.
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Watu wasiojulikana ndo we mmoja wapo natamani nikutusi.
 
Haraka? anaandika Political Jurist_*

Jana Mhe Tundu Lissu amezungumza na wanahabari huku yeye na Salim Mwalimu wa Chadema wakibishana hadharani kuhusu lugha ya kutumia.

Kwa nia ovu waliyokuwa nayo dhidi ya Serikali yao wenyewe inaonekana walijiandaa wazungumze Kiingereza ili kuitukana vyema nchi kwa "mabwana" lakini waandishi wale cha ajabu wakagoma wakataka Kiswahili. Pakawa na panic kidogo kwa waandaaji.

Anyway, ukiacha hilo huyu atakuwa mgonjwa wa kwanza duniani kwa aina ya tukio baya na kubwa kama lile kumtokea lakini bado akiwa wodini akaitisha press conference na kuongea meengi mengine yakiwa yametokea akiwa hana kumbukumbu lakini nayo akataka kuyaeleza kwa ufasaha usiowezekana.

Ni uhuru wake lakini mambo kadhaa yanatafakarisha:

Mgonjwa huyu analalamikia na kuhalalisha kuwa wakubwa hawakumjulia hali hata kwa kutoa tamko tu tangu apate matatizo hayo.

Kama kawaida katika hilo akaanza kumlaumu Rais.Facts check iko clear Rais alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza kutoa tamko na kulaani kitendo hicho na akaagiza vyombo vya dola kulifuatilia.

Rais Magufuli baada ya kupata taarifa za shambulio dhidi ya Tundu Lissu – millardayo.com

Juzi Makamu wa Rais alikwenda Nairobi akamuona Lissu wodini na kusema katumwa na Rais na kwa msisitizo kuwa aliambiwa asiruke kurudi Tz bila kumuona Lissu na Lissu akashukuru sana kwa hilo na akiwa na bashasha tele akasema NAMSHUKURU SANA RAIS. Leo kasahahu!

Anamlaumu Spika wa Bunge kuwa hata siku moja hajawahi kumuona tangu alazwe, fact check zipo clear kwanza sio lazima Spika kuwatembelea wabunge wote waliolazwa nje ya nchi lakini pale Dodoma alipopatwa na tukio hili baya na akiwa anapata matibabu ya kwanza yaliyookoa maisha yake katika hospitali ya Serikali ya Dodoma Spika wa Bunge na Naibu Spika waliongoza wabunge kadhaa na hata mawaziri kwenda kumuona.Nafahamu hakuwa na fahamu wakati huo labda. Video ipo hapa.



Lakini kali zaidi ni kuhusu uchunguzi, Lissu anasema yeye na dereva wake ndio mashahidi wakuu lakini hawajahojiwa mpaka sasa.

Naamini Mhe Lissu hakuwa katika fahamu zake wakati kiongozi wa Chama Bw. Mbowe akijibu alipoombwa amlete dereva wa Lissu ahojiwa na akasisitiza haiwezekani kwani naye bado anapata matibabu ya "kisaikolojia." na hadi leo haijulikani kapona au bado.

Juzi katika mahojiano na Azam Lissu amekiri bado yuko naye dereva wake kule Nairobi akiwa kwa sasa kama msaidizi wake pale wodini.So alishapona, anaendelea na kazi lakini hawamleti kuhojiwa na polisi ukweli ujulikane!

Jana Tundu Lissu kawahadaa wanahabari kuwa hajahojiwa mpaka sasa wala kuombwa kuhojiwa.Loh huyu babanaanza kuamini is a different case‍♂‍♂Juzi tu katika mahojiano maalum na AzamTV alisema Polisi wa Tanzania walifika kutaka kumhoji kupitia interpol yeye akakataa mpaka aletewe barua!!Mtu unayekata wabaya na watesi wako waumbuke unaanza na masharti?Lakini jana anasema hawajaja kabisa hata kutaka tu kumhoji.

Ni katika mazingira kama haya kwa kweli nakubaliana na ile falsafa ya hekima sana ya kuwa Mhe Lissu ni mgonjwa hivyo "kujibizana" naye kwa sasa ni kukiuka hata mila za Kiafrika ambapo wafu na wagonjwa huenziwa badala ya kukebehiwa.

Una pepo gani wewe kawahi foleni ukatubu unajua Lissu na Makamu wa Rais waliongea nini walipobaki wawili? Ninaamini Lissu aliambiwa Rais alimzuia asiende lakini yeye akalazimisha ndio apo unaona wanacheka wote.Sasa sijui wewe nimsemaji wa nani lakini pia uwezi kujibu hoja zilizoishinda serkali.Tetea kibarua chako ili watoto waende shule.
 
Yaani katika I mani ya kanisa katoliki huwezi hamisha kibanda cha kitubio ukaahirisha kutubu wakati padri yupo tubu tu hata nje ya kibanda cha kitubio
 
Una pepo gani wewe kawahi foleni ukatubu unajua Lissu na Makamu wa Rais waliongea nini walipobaki wawili? Ninaamini Lissu aliambiwa Rais alimzuia asiende lakini yeye akalazimisha ndio apo unaona wanacheka wote.Sasa sijui wewe nimsemaji wa nani lakini pia uwezi kujibu hoja zilizoishinda serkali.Tetea kibarua chako ili watoto waende shule.

Ichumu lya,
Unajua maana ya pepo au umekaririshwa....??????
Pepo ni roho chafu ya kishetani yenye upako wa KUUA,KUTESA au KUDHURU......!
Sasa basi, nani mwenye pepo kati ya WALIOTAKA KUMUUA LISSU AU WANAOSHANGILIA MATESO YAKE na WANAOLAANI NA KUPINGA KITENDO CHA KUTAKA KUMDHURU TL????
Tuacheni unafiki na TUSEME KWELI NA HIYO KWELI ITATUWEKA HURU......!!!
Acha ushabikii wa UKANDA na UKABILA..........huo ni ushetani perce!!
 
Back
Top Bottom