Haki za binadamu, muokoeni dada teja omba omba Kinondoni Manyanya

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,440
32,253
Kama mpo humu na mnapitia jaribuni kumsaidia yule dada anashinda Kinondoni Studio/ Vijana stend ya magari ya Posta ni mjamzito anaendelea kutumia unga jambo ambalo ni hatari kwa mtoto aliepo tumboni mwake kwani mtoto anaathirika kupitia matumizi ya midaharati ya mama yake.
 
Kigwangara unahusika ebu fanya kuokoa huyo kiumbe asiye na hatia maana ndiyo ustawi wa jamii uliojengwa na ssm...
 
Kama mpo humu na mnapitia jaribuni kumsaidia yule dada anashinda kinondoni studio/ vijana stend ya magar ya posta ni mjamzito anaendelea kutumia unga jambo ambalo ni hatari kwa mtoto aliepo tumboni mwake kwani mtoto anaathirika kupitia matumizi ya midaharati ya mama yake.
Hao wenye soba hausi huwa wanagombania mastaa, huyo dada wanampita kama hawamuoni.
 
Hao wenye soba hausi huwa wanagombania mastaa, huyo dada wanampita kama hawamuoni.

Ni kweli mkuu wanatakiwa wamuokoe huyu dada ana kiumbe tumboni sijui hata kama anapata chakula cha uhakika.
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta
Umekifikiria kimalaika kilichomo tumboni mwake? Unafikiri kina kosa gani? Unafikiri kama asingekuwa mjamzito hata hii thread ingeanzishwa? Imagine hako katoto ungekuwa ni wewe...Aaaaargh!
 
Kumbe yule dada ni muathirika wa unga? Mimi namuonaga mara kwa mara pale Manyanya kituoni na nafikiriaga labda ana ulemavu wa akili.
Aisee, Unga ni hatari sana.
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta
Ni mjamzito amebeba kiumbe aisee!we niaje.
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta


Mkuu mfikirie mtoto wa tumboni, hakuomba kuja duniani katika hali hiyo.
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta

Hukuna anaetambua kesho kutakuwaje tuwaombee walioingia ktk janga hili kumbuka ni mjamzito yule
 
Kumbe yule dada ni muathirika wa unga? Mimi namuonaga mara kwa mara pale Manyanya kituoni na nafikiriaga labda ana ulemavu wa akili.
Aisee, Unga ni hatari sana.
Hapana mkuu kaathirika na madawa nimefuatilia sana mwenendo wake nlikuja kustuka alipopata ujauzito kupeleleza nkaambiwa mateja ndo wamefanya hayo mana nna jamaa yangu yupo mitaa ile.
 
Most likely mtotot atakuwa ameathirika kama mimba kubwa tayari, cha muhimu sasa ni kuokoa maisha yake. This's sad!
 
asiye funzwa na mamaye.............. mtoto akililia wembe mwache ajikate

alivuta na kujifunza mwenyewe wacha apate mshahara wake wanaonywa na kukatazwa lkn hawasikii na wanajiona kama wao huwa wanajua sana pindi wanapokatazwa ila now yamewakuta

Lege siku za karibuni umekuaje sijui, mara ukutane na jini usiku na hata michango yako inaanza kuleta wsws, am sorry to see you uncanny
 
Kigwangara unahusika ebu fanya kuokoa huyo kiumbe asiye na hatia maana ndiyo ustawi wa jamii uliojengwa na ssm...


Kama wanapitia hapa nafikir wafanye ustaarabu mimba ishakuwa kubwa sana nahis mtoto anaweza akaanza na doz sio masihara jamani.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kama wanapitia hapa nafikir wafanye ustaarabu mimba ishakuwa kubwa sana nahis mtoto anaweza akaanza na doz sio masihara jamani.


Mkuu kama mimba ni kubwa mtoto atakuwa kaathirika, cha muhimu ni kumhifadhi huyo dada sasa at least kuokoa maisha ya mtoto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom