Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Uswahilini kuna mambo mkuu, we acha tu
Uzuri wa uswahilini, wakati huo nilipokuwa mkware, totoz walikuwa wa kumwaga tena kuku mitetea kwa gharama sawa na bure.....................eeenh hapo sasa!!!! na ukitoka kuoga unapita hapo kwenye tope.....eish! maisha bora kwa kila mtz:israel: