chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kiukweli hakuna watu wamegeuzwa vikaragosi au mwanasesele na watu walio na mafanikio, Serikali na matajiri.
*Kuna msemo unasema “siku maskini hakiamua jambo lake uwezi kuzuia “ kwa sababu Mungu ndiye kaamua.
*Kuna wakati maskini wakiungana pamoja kutetea au kukemea kusimamisha jambo lao ni gumu.
*Siku maskini akiamua kujua yeye ni nani na kukuonesha, bora ukubali au ukimbie
*Kuna msemo unasema “siku maskini hakiamua jambo lake uwezi kuzuia “ kwa sababu Mungu ndiye kaamua.
*Kuna wakati maskini wakiungana pamoja kutetea au kukemea kusimamisha jambo lao ni gumu.
*Siku maskini akiamua kujua yeye ni nani na kukuonesha, bora ukubali au ukimbie