tulipofika sio pazuri kabisa,,ona jinsi marijali wa mkoa wa mara wanavyofanywa na hii kampeni ya 50/50,,wanawake haki sawa sio kuwafanye muwe na viburi na kuwafanya mtake kupendelewa zaidi.
Nionavyo maelewano ndio kitu kikubwa Mkuu na ikitokea kila mmoja akaridhia basi wala hakuna atakayehitaji zaidi.
Na ndio sababu usishangae wenye furaha, mafanikio ni wale ambao kila mmoja akipata chake wanaeka mezani na kuanza kuchanganua nini cha kufanya kwa mwezi mzima.