Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Wameona hayo tu,huyo Makamba ndio anatafuta kura au?
Safiiii
kwani wakati unajiunga jf uliambiwa ni lazima uchangie kila thread?...uhoni hao ni wasanii na wanapambania sanaa yao,we ulitaka mengine yepi?
sorry..huyo kwenye avatar ni wewe!!!!!!!
SORY, KWA NINI UMEULIZA??(usinishushue ttafadhali kwmba hayanihusu)
ooh kumbe haya subiria jibuNamfaham huyo kaka kwenye pic ndio maana nimemuuliza..........
ooh kumbe haya subiria jibu