figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 26,699 Reaction score 59,210 Feb 1, 2012 #1 twatoka wilayani Mbinga twaelekea kijiji cha Darpori kilichopo mpakani mwa nchi za Tanzania na Msumbiji. ni kilometa 82. mia
twatoka wilayani Mbinga twaelekea kijiji cha Darpori kilichopo mpakani mwa nchi za Tanzania na Msumbiji. ni kilometa 82. mia
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,859 Feb 1, 2012 #2 Wazipata wapi wewe hizi za barabarani?
fungafunga Senior Member Joined Mar 30, 2010 Posts 117 Reaction score 155 Feb 1, 2012 #3 duh! nakumbuka usafiri wa kutoka katesh kwenda basutu huko mkoa wa manyara. dereva wetu samweli enzi hizo. ukikosa basi asubui ni mpaka kesho maana hakuna dereva mwingine anaeweza enda njia hiyo isipokuwa yeye tu.
duh! nakumbuka usafiri wa kutoka katesh kwenda basutu huko mkoa wa manyara. dereva wetu samweli enzi hizo. ukikosa basi asubui ni mpaka kesho maana hakuna dereva mwingine anaeweza enda njia hiyo isipokuwa yeye tu.
K kamimbi Senior Member Joined Apr 11, 2011 Posts 140 Reaction score 21 Feb 1, 2012 #4 mbona dem kama analia vp? au kabakwa! du pole mama
figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 26,699 Reaction score 59,210 Feb 1, 2012 Thread starter #6 kamimbi said: mbona dem kama analia vp? au kabakwa! du pole mama Click to expand... hilo ni vumbi mkuu. unafikiri kushikilia kwa kilometa 82 mchezo?.mia
kamimbi said: mbona dem kama analia vp? au kabakwa! du pole mama Click to expand... hilo ni vumbi mkuu. unafikiri kushikilia kwa kilometa 82 mchezo?.mia
COURTESY JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 2,006 Reaction score 712 Feb 1, 2012 #7 we utakuwa dereva wa nn?hizo picha balaa!big up mkuu...mia
driller JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 1,116 Reaction score 246 Feb 1, 2012 #8 mwana wee ni nooma..! asee that means 82k wamenin'ginia..?
M Mahona Senior Member Joined Sep 29, 2011 Posts 162 Reaction score 13 Feb 2, 2012 #9 Duh! Kumbe Tanzania ni kubwa, nadhani huko hakuna serikali jamani
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,635 Feb 2, 2012 #10 figganigga said: hilo ni vumbi mkuu. unafikiri kushikilia kwa kilometa 82 mchezo?.mia Click to expand... Hapo wameshapita Mpitimbi au bado?
figganigga said: hilo ni vumbi mkuu. unafikiri kushikilia kwa kilometa 82 mchezo?.mia Click to expand... Hapo wameshapita Mpitimbi au bado?
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,271 Feb 2, 2012 #11 Cuf=ccm-b
M mashambani kwao JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 370 Reaction score 56 Feb 2, 2012 #12 hapo wapo kijiji cha mpapa,halafu kijiji cha tingi.mpaka dar pori.
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,635 Feb 3, 2012 #13 mashambani kwao said: hapo wapo kijiji cha mpapa,halafu kijiji cha tingi.mpaka dar pori. Click to expand... Alaaaa kumbe unapita mpapa mpaka Tingi!!!!! mi nilidhani wanapitia Liparamba.
mashambani kwao said: hapo wapo kijiji cha mpapa,halafu kijiji cha tingi.mpaka dar pori. Click to expand... Alaaaa kumbe unapita mpapa mpaka Tingi!!!!! mi nilidhani wanapitia Liparamba.
Chatumkali JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 2,037 Reaction score 459 Feb 3, 2012 #14 Safari ni safari!
M mashambani kwao JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 370 Reaction score 56 Feb 3, 2012 #15 Capitano said: Alaaaa kumbe unapita mpapa mpaka Tingi!!!!! mi nilidhani wanapitia Liparamba. Click to expand... gujumwike lena gwe capitano?
Capitano said: Alaaaa kumbe unapita mpapa mpaka Tingi!!!!! mi nilidhani wanapitia Liparamba. Click to expand... gujumwike lena gwe capitano?
Shinto JF-Expert Member Joined Dec 6, 2010 Posts 1,781 Reaction score 98 Feb 4, 2012 #16 Hivi machimbo ya nadini kule MPEPO yanaendelea? Long time kitambo!!!!!
M mashambani kwao JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 370 Reaction score 56 Feb 4, 2012 #17 bado yapo sema UKIMWI umemaliza vijana wote
Capitano JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 1,959 Reaction score 1,635 Feb 4, 2012 #18 mashambani kwao said: gujumwike lena gwe capitano? Click to expand... Niyumwiki mlongo wangu