Chifu kamaliza
Member
- Nov 17, 2011
- 32
- 5
Napata shida katika hili kwa sababu gani nasema hivi Watanzania tulio wengi atuzifahamu sheria ya nchi yetu yaani(katiba) sasa kumekuwa na tabia ya watu wengi mno kusema wanadai haki kwenye mambo ambayo hata hawajui sasa hii haki wanayoidai pasipo kuijua sheria ni sahihi naomba mnisaidie kwa hili