Haki na Amani

Haki na Amani

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,065
Mimi sio mwanasiasa ila kumekua na mvutano wa kimaneno kwa wanasiasa ila naona Wengi Neno Haki Hawalizungumzi, nawaomba Wenye Mamlaka Tazameni Haki, Palipo na Haki Amani Utamalaki.
Pia Punguzeni kufanya mambo kwa Maslai ya Tumbo, pia kutazama Maslai ya watu Fulani( Kikundi Cha watu)
Neno Amani limekua kwenye mdomo wa Kila mwanasiasa na Raia wema. neno Haki alitamkwi na wanasiasa walioko kwenye Mamlaka. Nawaomba mfanye Harakati zenu kwa Haki.
 
Wana ccm watakuelewa sasa?? Wao haki wanai term kama kuua,kupoteza na kuwaziba mdomo wanaowapinga
 
Haki sawa kwa Wote ni suala la Kikatiba, sasa Katiba ushaambiwa na Bibi Miwani kwamba ni Kijitabu tu rubbish garbage hakina maana yoyote sasa hapo wewe unategemea nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom