Kwanza heshima kwako. Tusimjadili mtu hapa ila tujadili mada. Hayo yanayojilia na yanayosababisha watu hata wenye utu wema wafikie kufanya uamuzi wa mambo tusiyotegemea. Kosa ni wao au mazingira ya maisha wanayoishi? Hakuna tamaduni duniani ambayo zinatoa vielelezo wazi vya kuhalalisha hali hiyo. Hali kadhalika dini mbalimbali na madhehebu mbalimbali duniani yanayohalalisha hili. Walichofanya ni ubinadamu tu kuwasaidia walio katika wimbi hilo maana bila hivyo tuwafanye nini na maana ya haki za binadamu itachukuaje mkondo?
Unaelewa kuwa mnunuzi wa watumwa alikwa muzungu, mwarabu akawa mwindaji wa hao watumwa i.e babu zako akawauze kupitia bagamoyo, kilwa n.k. leo hao wahuni ndio wakufundishe haki za binadamu!!!!
Utalialia usiku kucha lakini Usenge ni usenge tu kaka! Na ni kitu ambacho hakiendani hata kibayoligia. Hatima ya usenge ni maradhi, maumivu, upuuzi na usenge zaidi kutetea usenge!Hapo ndio nilipotaka ufike kwa hiyo wewe tatizo lako na magay ni afya tuu au kuna kingine maana kama ni afya kuna , wavuta sigara, wanywa gogo na madawa ya kulevya na hakuna mtu anawabash kama magay
Second afadhali umenijibu mimi sikujua ni gay maana nimekwambia na fanya tuu na mke wangu na wote tunapenda kumbe mimi ni gay nimejua leo
Kwa hiyo na mimi ninavyoingizwa vidole ni gay its okay , mkimalizana na mimi mtaaza kufikiria okay wait a minute waisilamu hawa tumii toilet paper wantumia maji na kingiza vidole naam na ili wawe safi kabisa inabidi wajichokonoe mpaka ndani kama mimi navyochokonelewa na mke wangu, naam na wao basi ni gay sio au ? Au kuna muda ukiweka kwa muda mrefu vidole basi ni muda gani niambie ili nimwambie wife asizidishe uo muda nitakuwa gay
Nataka nitumie muda huo huo wanaochamba wao nisiwe gay, acheni mambo hayo fikirieni mkimalizana na waisilamu nani tena ?
Mimi nazungumza kwa metaphor , hukujibu hoja yeyote zaidi ya matusi, acheni hayo maadili ya upandee mmoja tuu , kuna maadili kibao, hakuna anayesema ugay ni mzuri ila ule ubaguzi wake
Candid nimeuliza mbona kwenye dini hiyo hiyo utumwa umehalalishwa ? Kwwnye biblia imeandikwa wafiraji na wafirwaji hawatauona ufalme wa mungu , pia imeandikwa wasiokiri kwamba yesu ni bwana na mokozi wao hawataingia ufalme wa mungu na wote wana dhambi okay , sasa basi na waislamu nao watengwe na wakristo watukanwe , useme hivyo hiyo unavyosema kuhusu magay uwaseme waislamu
Kwahiyo kama wewe ni mkristo maneno yote ulioandika wanhitaji sijui
msaada wasaidiwe , sijui maadili ya waisilamu ni mabovu pia na wanatakiwa wote wampokee yesu
Christian and muslim a bashing gays kwasababu ni common enemy na zanzibar imeeanza sasa wanaangalia kwamba kwenye kurhani hawa ni wakafiri makanisa ya nini tuyachome , acheni dhambi hizo endeleeni na maisha yenu , maadili kibao hatuoni mkisema wavuta sigara watupwe baharini
Utalialia usiku kucha lakini Usenge ni usenge tu kaka! Na ni kitu ambacho hakiendani hata kibayoligia. Hatima ya usenge ni maradhi, maumivu, upuuzi na usenge zaidi kutetea usenge!
Misahafu ni kitu kinachokanganya sana. Ukifuata misahafu itabidi tufanye kama kule Somalia ukishikwa ugoni ni kutandikwa kwa mawe hadi unakufa iwe kwa mwanaume au mwanamke.
Kama unaweza kukumbuka kinaja mdogo Daniel alivyoweza kumwokoa msichana asipigwe mawe pale aliposingiziwa na wazee wenye uchu kwake, na walipomkosa wakamfanyia fitina kwamba amekutwa na kijana mtunza bustani. Ushahidi wa kupishana kwamba chini ya mti msandarusi na mwingine sijui mti gani ulimwokoa msichana.
Misahafu imejengeka kwa tamaduni ilikoandikwa, ndio maana ya somo la fasafa, teologia, sheria na mila za wagiriki na wayahudi kisha fanya tathmini, vinginevyo utatupia watu mawe kwa vile ni gay/lesbians.
Typical! Natsfsiri hoja yako hapo juu kama mfano mzuri wa "usenge juu ya usenge".Utasema sana pinga tuu ninachosema fact after fact, sio matusi tuu , ******* ni binadamu kama walevi , wavuta sigara sioni bashing yao au kunyimwa haki
Nitawatetea sana I don't care about you or anybody else I just put fact mtu azipinge kwa facts na mjadala sio matusi, mnataka tuu watu wote wakubaliane na upuuzi mliojaza kwenye kichwa kama huo mwingine sijui wa freemason wabongo no facts kukurupuka tuu
siyo kweli kuwa watu wanaofanya ujinga huu hawa impart tabia yao kwa watu wengine.inategemea na ushawishi wa mtu kwa mfano Elton John anaweza akawa amewashawishi watu wengi dunia kujiingiza kwenye mambo haya kwasababu ya pesa zake na umashuhuri wake. kimsigi watu hawa ni wa kuogopwa zaidi ya ukoma. ukiishi karibu na mtu wa aina hii ni bora uhame ukakae mbali kabisa nae. wamelaaniwa hawafai.
Ndugu na jamaa pale mlipo salamu,
Naapa kuwa fitina kwangu mwiko. Misaafu ya dini imekataza mambo mengi sana. Kwanza imekata kufanya kitendo cha ndoa bila kuoana. Hivyo kama unapinga ushoga kwa kutumia misingi ya kidini, basi upinge matendo mengine ya kimapenzi nje ya ndoa.
Kama tunashindwa kupinga haya matendo, sioni sababu ya kukataza watu wengine kufanya mambo yao kwa faragha.
Hivyo hivyo na hao ambao wanaofanya ufulka nje ya ndoa au wanaotembea na watoto wadogo , waliozaa nje ya ndoa zao na walevi kwa sababu ya pesa au umaarufu wanashawishi hizo tabia zao waogopwe kama ukoma na ukiweza hama na walaaniwe hawafai
Hapo sasa subira na uvumilivu wenye kujenga hali ya kujirudi kwa wanaokwenda kinyume itashindikana. Hata sheria za kawaida tu zinawapa nafasi watu kujirekebisha, iweje dini ambayo inamwandaa mtu kubadilika kiroho na kuwa mtu safi?
Hata mitume wakubwa walikuwa wakosaji kwanza, mfano ni Paulo ambayo awali alikuwa anaitwa Saulo alivyokuwa anaua wakristo kwa sababu ya ukristo lakini aliongoka na kuwa mtumishi mkubwa wa Mungu.
Mzee Invisible,
kwa heshima zote hebu ka-mpe huyu mwenzetu Candid Scope, aliyekwishawehuka akilini, ukurasa wake binafsi hapa jamvini ili ma-basha na vinang'aembe vikamfwatie huko huko.
Kero kweli kweli, bure kabisa na wala hamna kitu katika nafsi ya huyu mwenzetu!! Niko tayari kumtetea haki hiyo ya kujadiliana na wenzie 'JINSI GANI WANAVYOAMINI MWENYEZI MUNGU ALIVYOKOSEA KATIKA UUMBAJI' lakini asifanye huo mjadala hapa sebuleni!!!!!!!!!!
Tunachoangalia kuwasaidia wenzetu namna ya kuondokana na hali waliyo nayo, na hali kadhalika jamii itumie njia gani mbadala kusaidia vijana wasijiingize huko wasipate madhara ambayo hawa wasagaji wanayapata. Kuondolewa kwangu unakoshauri hakusaidii wakati hatusaidii jamii kuishauri namna gani ya kufanya. Kuondoa kabisa si jambo rahisi kwani jambo hilo limekuwepo kwa karne kadhaa kihistoria na kimisahafu ya maisha ya kiroho.
Kinachotakiwa kutafuta njia mbadala ya kuwanusuru vijana wetu ambao ni wepesi sana kuiga kutokana na maendeleo ya ulimwengu wa leo ambao kasi yake vigumu kuwawekea wigo. Hali kadhalika hawa gays/lesbians vigumu kuwawekea cage kama ya chumba maalum cha robot kusitokee madhara kwa walio kando yake, maana maisha yao yamechangamana nasi kila leo na kwa namna mbalimbali. Kuna wengi ambao hatuwafahamu wafanyao kwa siri, wachache tu ndio wanaoonyesha wazi.
Tujaribu kuwaangalia hawa watu kama binadamu waliopo ndani ya jamii yetu, tunawaona, tunawafahamu na pengine kushuhudia yanayotokea kila siku. Kosa letu si la wazi kutokana na yanayowapata au kutokana na yaliyowaingiza katika mfumo huo. Lakini kwa namna mbalimbali kwa kujua au kutojua tunashiriki kwa baadhi kufikia hatua hiyo kama nilivyoainisha hapo awali kwani wengine mazingira ya maisha, ugumu wa kuwapata wenzi wa maisha, masharti ya akina dada pengine yamechangia waamue kufanya hayo ambayo yanaichefua sana jamii yetu.
Pengine kuna mengi ambayo jamii imechangia, mazingira wanayoishi yamechangia, social life ya wanaowazunguka imechangia. Maisha hayajawashinda, ni watu wazuri, watendaji wazuri, wajasirimali wazuri, wenye taadhima katika jamii na kuheshimu utu wa kila mmoja.
Naweza kusema hawa pengine ni bora wanaonyesha wazi wazi bila kificho wanachofanya kuliko wengi ambao wanafanya mambo hayo kinyume cha maumbile hata walio katika mazingira ya different gender. Anayejiona hana dhambi na awe wa kwanza kuwatupia jiwe, ndio wosia wa msahafu wa biblia. Tusipoangalia haki zao za msingi tunaweza kufikia hatua ambayo ni kinyume cha haki za binadamu kuhusu haki zao za msingi za kuishi na kushirikia shughuli za kijamii.
Kuna ujumbe ambao niliona kwenye ubao wa matangazo yao kando ya barabara karibu na kanisa lao la Methodist Church. Nanukuru: "God is love. Show them (people) love, you show then God." Nadhani upendo wetu kwao ni njia ya kuwasaidia kuwarudisha kwenye njia sahihi kuliko chuki ambayo haitawasaidia kuwarudisha ila itajenga zaidi ufa na fitina. Mwenye kukusikiliza vizuri ni yule unayemwonyesha kumjali na kumwonyesha upendo wako kwake.