Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,889
- 6,886
- Thread starter
- #41
kwa hiyo mnataka haki za kuf.,-,wa sio!? Endelea,mtazipata.
Tufanyeje na watu hawa maana wanahitaji kuishi, wanahitaji kushirikia shughuli za maendeleo na kujenga nchi, wanahitaji kuhakikisha huduma na usalama wato, je, serikali na wananchi licha ya kuchukua tahadhari tunawajibikaje kwa watu hawa?