Haki msingi kwa mashoga zitambuliwe

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo mnataka haki za kuf.,-,wa sio!? Endelea,mtazipata.

Tufanyeje na watu hawa maana wanahitaji kuishi, wanahitaji kushirikia shughuli za maendeleo na kujenga nchi, wanahitaji kuhakikisha huduma na usalama wato, je, serikali na wananchi licha ya kuchukua tahadhari tunawajibikaje kwa watu hawa?
 
Umenena mkuu!!!

Hata mimi naona its nt fair kwamba wasen.ge/mashoga na wasagaji wapewe haki kikatiba wakati kuna watu nao wanataka haki kufanya ngono na mama zao, baba zao, dada zao, kaka zao, watoto under 18, wala unga wapewe haki zao, wauza unga nao wapewe haki zao,,,, Ahhh!! Mashoga bana! Kama wapo humi itabidi JF iweke option katika gender waongeze "msen.ge na msagaji"

Vigumu kuwanyima haki watu uliowaainisha hapo juu kwani wengine haki zao zinatokana na itikadi za kidini na kifamilia. Wanafamilia wanaozana wangali wadogo chini ya umri unaotakiwa, nani wa kukataza kama wahusika hawajafikisha malalamiko kwa vyombo husika wakijua kwamba wakifanya hivyo sheria itashika mkondo?

Hata mataifa makubwa mahusiano ya wakubwa na walio chini ya umri hufanyika sana, vinginevyo wazazi wa wahusika wengine walalamikiwe na mmoja wa wahusika, au familia na pengine walezi, la sivyo hakuna linalotokea.
 
Ukifuata nidhamu ya maadili uko sahihi kabisa katika kauli yako ingawa ni kali sana. Mimi mwenyewe nilivyokulia katika mazingira ya kimaadili katika utamaduni mila na desturi zetu, kuonezea na maadili ya religious siwezi kupata picha msukumo wa watu hawa kufanya mambo kama hayo kinyume cha maumbile. Lakini ninachojadili hapa haki zao za msingi kama binadamu ndani ya jumuiya yetu iweje?

Candid,

Kuna watu wanazaliwa wako hivyo na nina mifano mingi tuu, kama kuna mtu alisoma forodhani primary miaka ya 70's anatakua anamjua kijana alikuwa anaitwa Tony , yaani tukiwa wadogo kabisa tulikuwa tunamwita kisura alikuwa ana tabia zote za kike , yeye saa zote yuko na dada yake hata mwendo kila kitu

Kuna watu wanaojiendekeza lakini wako ni maumbile ya Mungu na kuna research kibao kuhusu hiyo , kulikuwa na mwamke anaitwa Mariam tulikuwa tunamuita Dume Jike akikuwa mambo yote ya kiume , mpira likuwa kwenye timu ya darasa

Tony ukubwani alikuwa hivyo hivyo , sikupata kukutana na Mariam tena lakini I can bet alikuja kuwa Lesbian, tusiwahukumu watu kwa vitu ambavyo hawawezi control, hakuna maadili wala mazingira yeyote unayozungumzia Candid yangemsaidia Tony, hata angesoma Seminary naa akaishi na Watawa angekuja kuwa tuu Gay

Kuwa fukuza na kuwasema wakini Tony na kuwabagua ni kitu kibaya sana wako hivyo na watu wengi sana wako kwenye closet kwa kuogopa bashing

Hakuna mtu aliyekuwa fundi wa kusema watu vichaa kwamba ohh yule wa Mirembe kama mimi, nawahakikishia sisemi tena kusema ahaa yule Mirembe maana ilinitokea kwenye familia na nilipopitia nikagundua ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine

Hivyo hii dhambi ya kubagua sijua magay , Dick Cheney Republican alikuwa zamani hakuna anayepinga kama yeye mpaka mtoto wake Liz alivyokuja kuwa Lesbian ndipo alipobadilika na kujua sio swala la Malezi wala maadili saa zingine

kwa hiyo nimeuliza swali na mimi mtaniitaje ? sijajibiwa bado napenda mke wangu aniweke vidole mtanifukuza na mimi ? mkitumaliza sisi mtaaanza hatutaki kuwapa haki waisilamu maana imeandikwa kwenye biblia usijifunge nanga na wasio waamini yesu kama bwana na mokozi wako na hawataingia ufalme wa mbinguni , na waisilamu hivyo hivyo Makafiri hatuwataki ? itaishia wapi hiii
 
Candid,

Kuna watu wanazaliwa wako hivyo na nina mifano mingi tuu, kama kuna mtu alisoma forodhani primary miaka ya 70's anatakua anamjua kijana alikuwa anaitwa Tony , yaani tukiwa wadogo kabisa tulikuwa tunamwita kisura alikuwa ana tabia zote za kike , yeye saa zote yuko na dada yake hata mwendo kila kitu

Kuna watu wanaojiendekeza lakini wako ni maumbile ya Mungu na kuna research kibao kuhusu hiyo , kulikuwa na mwamke anaitwa Mariam tulikuwa tunamuita Dume Jike akikuwa mambo yote ya kiume , mpira likuwa kwenye timu ya darasa

Tony ukubwani alikuwa hivyo hivyo , sikupata kukutana na Mariam tena lakini I can bet alikuja kuwa Lesbian, tusiwahukumu watu kwa vitu ambavyo hawawezi control, hakuna maadili wala mazingira yeyote unayozungumzia Candid yangemsaidia Tony, hata angesoma Seminary naa akaishi na Watawa angekuja kuwa tuu Gay

Kuwa fukuza na kuwasema wakini Tony na kuwabagua ni kitu kibaya sana wako hivyo na watu wengi sana wako kwenye closet kwa kuogopa bashing

Hakuna mtu aliyekuwa fundi wa kusema watu vichaa kwamba ohh yule wa Mirembe kama mimi, nawahakikishia sisemi tena kusema ahaa yule Mirembe maana ilinitokea kwenye familia na nilipopitia nikagundua ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine

Hivyo hii dhambi ya kubagua sijua magay , Dick Cheney Republican alikuwa zamani hakuna anayepinga kama yeye mpaka mtoto wake Liz alivyokuja kuwa Lesbian ndipo alipobadilika na kujua sio swala la Malezi wala maadili saa zingine

kwa hiyo nimeuliza swali na mimi mtaniitaje ? sijajibiwa bado napenda mke wangu aniweke vidole mtanifukuza na mimi ? mkitumaliza sisi mtaaanza hatutaki kuwapa haki waisilamu maana imeandikwa kwenye biblia usijifunge nanga na wasio waamini , na waisilamu hivyo hivyo Makafiri hatuwataki ? itaishia wapi hiii

Una mwona mpana wenye busara na hekima. Jambo hili ni sawa na kulazimisha nguvu ya ubongo wa kushoto kuwa na nguvu zaidi kuliko ule wa kulia unaofanya mkono wa kushoto usiwe na nguvu kama wa kulia unaoongowa na bongo la kushoto.

220px-Jim_McGreevey_2009_Exodus_6.jpg

McGreevey aliyekuwa gavana NJ

Msukumo wa nature na maumbile yao umewafikisha walipo. Governor wa NJ nchini Marekani
McGreevey kabla ya kushinda uchaguzi alipokuwa Mayor wa BridgeWater/Waterbridge alikuwa gay na watu walifahamu hivyo. Alipogombea ugavana aliamua kuoa mke wa jinsia tofauti na kuacha mahusiano na yule gay mwenzake Myahudi. Baada ya ushindi mambo aliyozoea ilishindikana kuachana nayo, akawa anamwacha mke wake na kuendelea na mahusiano na gay mwenzake, jambo lilikuja julikana walipokorofishana na mwenzake kumlipua hali iliyofikisha kuacha ofisi ya ugavana.

Nakubaliana nawe watu hawa ni nature yao, mimi na wewe hatuoni sababu ya kinachowavutia wao kufanya hivyo, lakini mtu ukijua nguvu ya nature unaweza kuelewa yanayowapata.

Vijana wengi wanasukumwa kujiingiza katika michezo kama hiyo kutokana na dada zetu kufanya biashara ya mahusiano badala ya ridhaa ya moyo yenye kujenga penzi la kweli. Wafanyeje kama nature inadai? Tuwafunde wasichana wawe na moyo wa ukaribu kuchagua kijana wa kufaana naye si kwa kutaka pesa ila penzi la dhati jambo ambalo litapunguza mambo haya ya kuhusiana kinyume cha maumbile kwa watu wa jinsia moja.

Hali kadhalika watu wenye mahusiano wa jinsia tofauti wawe na utashi wa kuheshimi miili yao, kwa kufanya kadiri ya maumbile alivyotuandalia Muumba wetu. Hii ya kupitiliza hakuna siku mtu utajisikia umeridhika, ila kiasi kina heshima yake na kulinda ubora wa maisha ya watu.
 
Watu wanatumia bibilia na kuran ku justify maana imeandikwa fine hapo waisilamu na wakristo wanaungana kuwafanyia ubaguzi magay, kiama pale watakapofuata bibilia na kuran hizo hizo kwa mambo wanayotofautiana na yako mengi tuu, tubaguane na huko ? Kwanini tuna pick na kuchoose wakati vitabu ni hivyo hivyo

Makanisa yakichomwaaa hao hao wanaotaka magay wafukuzwe zanzibar wanaanza mikutano mara polisi si waache tuu maana ni vya makafiri 99 percent ni waislamuu hivyoo wanahaki si ndio, kama mmoja alivyosema 99 percent hawataki gays basii na makanisa yachomwee

Wakristo nao kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu kwenye wakristo wengi wafukuze waislamu wote wenye mke zaidi ya mmojja maana sio maadili ya kikristo
 
Kwa maoni yako unawaona hawa gays/lesbians ni wabaya, okay, sasa tufanye nini nao wakati tunao na tunaendelea kuwa nao? Tuwatenge? Wasiajiriwe? Tusichangamane nao katika shughuli na maisha ya kila siku?

Inatakiwa tuwakamate tukawatupe baharini iwe ndo mwanzo na mwisho, full stop. This is too evil even to mention it alone.
 
Tumekuwa na kawaida ya kulaumu tu bila kuangalia sheria ambazo huongozwa na sheriamama ambayo ni katiba ya nchi. Katiba ya nchi haikatazi ushoga, bali inakazia haki za msingi za uhuru wa kila binadamu.

Mashoga wapo wengi tu gays/lesbians na tunawaona kila siku na sheria inawalinda kama raia wenye haki ya kupata maisha, ajira na haki nyingine kwa msingi wa haki za binadamu.

Wanaopinga baadhi tumewaendekeza binti kujinafsisha kama lesbians kwa ajili ya kulinda ubikira wao ili waolewapo waonekana wako fresh. Hayo yako karibu mabara yote duniani.

Leo mambo haya huongelea na kuonekana hadharani na kwa uwazi sababu ya mawasiliano kuwa rahisi, lakini wakati huo yatokeayo kijiji fulani waliokuwa wanayafahamu na hao na yaliishia kwao. Ni dalili wazi mambo haya yapo.

Tunachopaswa kukemea ni kuwalea vijana kujiepusha na vitendo hivyo na kukemea kwamba utamaduni huo sio mzuri kwa vile si mpango wa Mungu katika kushiriki uumbaji wake. Kwa waliokwisha athirika na mfumo huo hakuna njia nyingine ya kuwatema katika jamii kwa vile wana haki za msingi kama binadamu na hata haki ya kupata huduma za kijamii na ajira ni halali yao.


Gay and Lesbian Rights

jdn-t3hi-uejze3b4crddw.gif
e5c5xeifzuwehmspebrhog.gif

Mdogo wangu hizi Gallup sio za bongo/Tanganyika/Zanzibar/Tanzania. Hawa niwatu walokula sana Monsanto/GM na sasa ni jamii yenye-kizazi kilichoharibika. Amerika ya miaka ya sitini haingeweza kamwe kukubaliana na mambo kama haya, trust me.:sick:
 
Maandiko hayo hayo wanayotumia kubash magay yanasema enyi watumwa watumikieni mabwana zenu , uguse hapo uwaone wanavyokuwa wakal, tulibaguliwa kwa hayo maandikko tukafanywa watumwa tukafungwa minyororo, hayo hayo na sisi tunayatumia k kubagua mashoga , tuachie tuu tuchukuliwe tuwe watumwa and just don't come with tha ohh it wa just in old testament
 
Watu wanatumia bibilia na kuran ku justify maana imeandikwa fine hapo waisilamu na wakristo wanaungana kuwafanyia ubaguzi magay, kiama pale watakapofuata bibilia na kuran hizo hizo kwa mambo wanayotofautiana na yako mengi tuu, tubaguane na huko ? Kwanini tuna pick na kuchoose wakati vitabu ni hivyo hivyo

Makanisa yakichomwaaa hao hao wanaotaka magay wafukuzwe zanzibar wanaanza mikutano mara polisi si waache tuu maana ni vya makafiri 99 percent ni waislamuu hivyoo wanahaki si ndio, kama mmoja alivyosema 99 percent hawataki gays basii na makanisa yachomwee

Wakristo nao kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu kwenye wakristo wengi wafukuze waislamu wote wenye mke zaidi ya mmojja maana sio maadili ya kikristo
Senge hiloooo! Dume zima huna aibu??? Eti umeoa ilhali unatiwa vidole kunduni na "mkewe"! Shame on you!!! Pussy-ass piece of shit!
 
Kwa raha zangu , umebaki matusi tuu huna hoja ya kujibu, tena umenitia munkari ngojea nikanunue betri maana ziliisha overusage


Wee kweli huna akili nzuri! Basi subiri upate anal prolapse na kuanza kujamba na kujinyea hadharani bila
self-control yoyote na hatimaye dume zima kuishia kuvaa nepi au pampers sababu tundu lako limetanuliwa na mitarimbo ya midume wenzako!
 
Wee endelea kufirwa na kutiwa vidole mkunduni hadi ujinyee kama mtoto mdogo. Senge wewe!

Kwanza heshima kwako. Tusimjadili mtu hapa ila tujadili mada. Hayo yanayojilia na yanayosababisha watu hata wenye utu wema wafikie kufanya uamuzi wa mambo tusiyotegemea. Kosa ni wao au mazingira ya maisha wanayoishi? Hakuna tamaduni duniani ambayo zinatoa vielelezo wazi vya kuhalalisha hali hiyo. Hali kadhalika dini mbalimbali na madhehebu mbalimbali duniani yanayohalalisha hili. Walichofanya ni ubinadamu tu kuwasaidia walio katika wimbi hilo maana bila hivyo tuwafanye nini na maana ya haki za binadamu itachukuaje mkondo?
 
Wee kweli huna akili nzuri! Basi subiri upate anal prolapse na kuanza kujamba na kujinyea hadharani bila
self-control yoyote na hatimaye dume zima kuishia kuvaa nepi au pampers sababu tundu lako limetanuliwa na mitarimbo ya midume wenzako!

Hapo ndio nilipotaka ufike kwa hiyo wewe tatizo lako na magay ni afya tuu au kuna kingine maana kama ni afya kuna , wavuta sigara, wanywa gogo na madawa ya kulevya na hakuna mtu anawabash kama magay

Second afadhali umenijibu mimi sikujua ni gay maana nimekwambia na fanya tuu na mke wangu na wote tunapenda kumbe mimi ni gay nimejua leo

Kwa hiyo na mimi ninavyoingizwa vidole ni gay its okay , mkimalizana na mimi mtaaza kufikiria okay wait a minute waisilamu hawa tumii toilet paper wantumia maji na kingiza vidole naam na ili wawe safi kabisa inabidi wajichokonoe mpaka ndani kama mimi navyochokonelewa na mke wangu, naam na wao basi ni gay sio au ? Au kuna muda ukiweka kwa muda mrefu vidole basi ni muda gani niambie ili nimwambie wife asizidishe uo muda nitakuwa gay

Nataka nitumie muda huo huo wanaochamba wao nisiwe gay, acheni mambo hayo fikirieni mkimalizana na waisilamu nani tena ?

Mimi nazungumza kwa metaphor , hukujibu hoja yeyote zaidi ya matusi, acheni hayo maadili ya upandee mmoja tuu , kuna maadili kibao, hakuna anayesema ugay ni mzuri ila ule ubaguzi wake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom