Haki ipo wapi?

Nyuki baby

Member
Feb 24, 2012
85
8
Nimeamia kwenye nyumba miez 3 iliyopita nimelipa kodi ya miez 6! Wiki 2 zilizo pita choo kimejaa! Mwenye nyumba anataka 2change pesa 2wezekuvuta! Mi na wangaji wenzangu 2megoma mwenye nyumba kadai tutajijuu kwa kuwa yeye aishi hapa! Nina wik2 ninaoga kwa rafiki yangu! Je 2nahaki ya kuchanga pesa au vp jamani?
 
yaani huyo mwenye nyuma yako ni mtu mzur sana he is giving you brain kwani adha za kupanga zinafanyaa wengine tuhamie kwenye nyumba bila milango na madirisha. hope kwa adha hiyo hutanywea pombe hela yako ila utaanza ujenz kidogo kidogo. hata wa single room
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom