Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata mgombea urais wa CCM bila ya matambiko kufanyika.
Magufuli ni mlokole na mwenye hofu ya Mungu.
Tanzania sasa itanyooka, naam itanyoka.
Haki itapatikana na si upendeleo. Mwizi atatajwa kwa jina la mwizi, na atahukumiwa sawa kwa kosa lake.
Haiwezekeni uibe mabilioni ya Umma halafu uhukumiwe kifungo cha nje.
Magufuli ni mlokole na mwenye hofu ya Mungu.
Tanzania sasa itanyooka, naam itanyoka.
Haki itapatikana na si upendeleo. Mwizi atatajwa kwa jina la mwizi, na atahukumiwa sawa kwa kosa lake.
Haiwezekeni uibe mabilioni ya Umma halafu uhukumiwe kifungo cha nje.