haki elimu mpoooo?

haki elimu mpoooo?

Hiyo nayo ni ilmu kweli kweli! Ajabu bado kuna walevi wanawahadaa watanzania kuwa kuna maisha bora kwa wote. Je hao vijana wamo kwenye kundi hilo la maisha bora?
 
Aaaah wale wa tuliosoma uswaz si kitu kigeni unatoka kata 'x' unadamka asubuh unawahi namba kata 'Y'
af hamna daladala, na wakat huo jana tuliagizwa
:-Jembe la kumia na Kuni ya kupikia utaona watu wa umitashunta sijui wamekuja wanalala madarasani kwaajili ya kupikia, mkilundika shule nzima mzee lori kadhaa
:-wakat huohuo umebeba Jiwe kwaajili ya bustani mnayarundika then kila mtu ataweka kwenye bustan yake!

:-KIDUMU NA UFAGIO hivyo default usiulize
Na linamba lenyewe mwisho wa siku unachelewa, maua hukumagilia, unakuta zamu yako kufagia class na ulichelewa li-kilanja limeandika majina na ukuda wake!! Kama Jkt vile
sasa tuseme ukweli adhabu kama hii itakupita kweli! Sis tulikuwa tunanyanyua mawe tuloleta kila jiwe na mkono wake!!!!!
nimechoka kuendelea st. Kayumba noma
 
Hizi ni adhabu zenye changamoto na kujenga werevu.Zilipoachwa,watoto wakawa wanafeli sana.Tafakari!
 
Lol umenikumbusha mbali tulikuwa tunapewa adhabu za kuinama unazungusha mikono kwenye mapaja na kushika masikio jamani
 
Hizi ni changamoto kubwa katika mfumo wetu wa elimu....
 
Lol umenikumbusha mbali tulikuwa tunapewa adhabu za kuinama unazungusha mikono kwenye mapaja na kushika masikio jamani



dah umenikumbusha mbali sana mkuu
tulipewaga hiyo adhabu ukijtngisha fimbo hata maumivu husikii yaani tulikuwa tunalia ajabu sasa wale waliokuwa mabausa wa class kamasi mixer machoz yalikuwa yanawatililika tulikuwaa tunacheka huku tunalia
 
Pambaf! Mama nanii....Yani nalipia ada halafu ndio hii kazi....Panga langu na upinde uko wapi. hawa waalimu watanitambua leo....
 
Aaaah wale wa tuliosoma uswaz si kitu kigeni unatoka kata 'x' unadamka asubuh unawahi namba kata 'Y'
af hamna daladala, na wakat huo jana tuliagizwa
:-Jembe la kumia na Kuni ya kupikia utaona watu wa umitashunta sijui wamekuja wanalala madarasani kwaajili ya kupikia, mkilundika shule nzima mzee lori kadhaa
:-wakat huohuo umebeba Jiwe kwaajili ya bustani mnayarundika then kila mtu ataweka kwenye bustan yake!

:-KIDUMU NA UFAGIO hivyo default usiulize
Na linamba lenyewe mwisho wa siku unachelewa, maua hukumagilia, unakuta zamu yako kufagia class na ulichelewa li-kilanja limeandika majina na ukuda wake!! Kama Jkt vile
sasa tuseme ukweli adhabu kama hii itakupita kweli! Sis tulikuwa tunanyanyua mawe tuloleta kila jiwe na mkono wake!!!!!
nimechoka kuendelea st. Kayumba noma

salute mkuu umenikumbusha mbali sana yaani humo humo
 
Aaaah wale wa tuliosoma uswaz si kitu kigeni unatoka kata 'x' unadamka asubuh unawahi namba kata 'Y'
af hamna daladala, na wakat huo jana tuliagizwa
:-Jembe la kumia na Kuni ya kupikia utaona watu wa umitashunta sijui wamekuja wanalala madarasani kwaajili ya kupikia, mkilundika shule nzima mzee lori kadhaa
:-wakat huohuo umebeba Jiwe kwaajili ya bustani mnayarundika then kila mtu ataweka kwenye bustan yake!

:-KIDUMU NA UFAGIO hivyo default usiulize
Na linamba lenyewe mwisho wa siku unachelewa, maua hukumagilia, unakuta zamu yako kufagia class na ulichelewa li-kilanja limeandika majina na ukuda wake!! Kama Jkt vile
sasa tuseme ukweli adhabu kama hii itakupita kweli! Sis tulikuwa tunanyanyua mawe tuloleta kila jiwe na mkono wake!!!!!
nimechoka kuendelea st. Kayumba noma

Nahisi tumesoma shule moja mkuu
 
Kwani hawa watoto wako Gwantanamo ama shule? maana ukiniambia siyo gerezani sitakuelewa kabisaaa
 
Back
Top Bottom