Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Mwingizie faranga kwenye tigo or mpesa uone kama hatakuja faster
 
Anastahili pole kwa kweli,hapo jemba limemtupa mkulima. Hakufanya kazi ya kuweza kusababisha kuwekwa kwenye record. Hata kama ilikuwa ni bahati mbaya ingeweza kubadilika kuwa bahati nzuri on the way in action. Labda jembe lilikuwa bovu/butu kwa palizi zuri au shamba lennyewe lilikuwa na sangari,so lilidhani limepata ratoo. Kweli kilimo ni uti wa mgongo alisema Mwalimu.!!:coffee:
Hahahahaha
Nakupa big up unaweza kutumia tafsida asee
Na sera ya sasa ni kilimo kwanza...!!
Hehehehehee
 
Hahahahaha
Nakupa big up unaweza kutumia tafsida asee
Na sera ya sasa ni kilimo kwanza...!!
Hehehehehee
Kweli kilimo kwanza,na bila kilimo chakula kitakuwa haba kama sio hakuna.Jamaa ameambulia hakuna kutokana na zana zake za kilimo au uvivu wake pia katika kilimo. Naamini ningeliweza shamba hili. Sema tuu kilimo hiki cha kubahatisha nakiogopa sana kwani panaweza kuwepo na maradhi ya kuharibu mazao. Au mkulima nikaugua hata matokeo ya kilimo na mavuno sintayaona tena. Napenda kilimo cha kujipanga na kukusudia,bila kubahatisha na baadae nisije kujilaumu. Napenda nilijue shamba ubora wake ndipo niingie shambani. Namhurumia kweli kalima shamba lipo bondeni limezoea mafuriko kama sio yeye anamatatizo kutokujua kilimo sahihi. Chocs nisaidie kumhurumia.
 
Kweli kilimo kwanza,na bila kilimo chakula kitakuwa haba kama sio hakuna.Jamaa ameambulia hakuna kutokana na zana zake za kilimo au uvivu wake pia katika kilimo. Naamini ningeliweza shamba hili. Sema tuu kilimo hiki cha kubahatisha nakiogopa sana kwani panaweza kuwepo na maradhi ya kuharibu mazao. Au mkulima nikaugua hata matokeo ya kilimo na mavuno sintayaona tena. Napenda kilimo cha kujipanga na kukusudia,bila kubahatisha na baadae nisije kujilaumu. Napenda nilijue shamba ubora wake ndipo niingie shambani. Namhurumia kweli kalima shamba lipo bondeni limezoea mafuriko kama sio yeye anamatatizo kutokujua kilimo sahihi. Chocs nisaidie kumhurumia.

Mzee umechanganyikiwa nn! Au ndio product za Mulugo hizi...
 
Hahahahaha
Nakupa big up unaweza kutumia tafsida asee
Na sera ya sasa ni kilimo kwanza...!!
Hehehehehee

Bilashaka ww ni miongoni mwa form 4 waliomaliza mwaka 2012, ishukuruni sana hii serikali yenu sikivu kwa kuwabadilishia madaraja!
 
Anastahili pole kwa kweli,hapo jemba limemtupa mkulima. Hakufanya kazi ya kuweza kusababisha kuwekwa kwenye record. Hata kama ilikuwa ni bahati mbaya ingeweza kubadilika kuwa bahati nzuri on the way in action. Labda jembe lilikuwa bovu/butu kwa palizi zuri au shamba lennyewe lilikuwa na sangari,so lilidhani limepata ratoo. Kweli kilimo ni uti wa mgongo alisema Mwalimu.!!:coffee:

Dnt haTe guys, inalekea umemaliza diploma ya sociology pale USTAWI ww!
 
Mzee umechanganyikiwa nn! Au ndio product za Mulugo hizi...
Amicus vipi kwani Mzee mwenzangu falsafa nyepesi hii ni rahisi sana kuelewa na naamini inaeleweka. Mwenzio hapa alikutana na mwanamke ex dentally na hakuweza kumtimizia haja hadi mwanamke akaona ni kama ilikuwa kosa kukutana na huyu jamaa. Mimi nikaiweka katika falsafa ya kilimo. Ukisoma sehemu zote mbili nilizoandika utaelewa. pole lakin.Just falsafa mate. Sio mulugo.
 
Ha ha ha cha ajabu sasa, leo kanipigia simu mwenyewe eti im sorry beib, siku-intend kukujibu vile, i was very angry that day coz...... thn akakata simu! nikamcall back, akaendelea...eti nilijiona malaya coz hukuniyamkia chochote abt loving me,,, so nikajua utanidharau baada ya kile kitendo!!! pls nijibu hili swali langu ili nijiridhishe, do u real love me or it was just a MISTAKE? hahaha sasa nashangaa, mara ya kwanza yy alisema eti was a mistake, sasa hv yeye ndo ananiuliza kama ilikua ni mistake au lah! hivi wanawake mkoje???

bahati nimeisoma thread yote kabla ya kuchangia. alichokieleza ndicho nilichotaka kukufahamisha.
Mademu wote niliowagonga accidentally bila kuwatongoza baadae walitaka niwafuate niwape heshima ya kuwatongoza yani niwe kama nawatongoza upya, huwa wanajisikia vibaya wakigegedwa bila kutongozwa especially kama mnaonana mara kwa mara.
 
 
Last edited by a moderator:
Amicus vipi kwani Mzee mwenzangu falsafa nyepesi hii ni rahisi sana kuelewa na naamini inaeleweka. Mwenzio hapa alikutana na mwanamke ex dentally na hakuweza kumtimizia haja hadi mwanamke akaona ni kama ilikuwa kosa kukutana na huyu jamaa. Mimi nikaiweka katika falsafa ya kilimo. Ukisoma sehemu zote mbili nilizoandika utaelewa. pole lakin.Just falsafa mate. Sio mulugo.

Basi tusameheane jamaa yangu, ujue nn, at first nilikuelewa vzr tu, ila baadae nikagundua kuna watu humu ume conspire nao ili mnipige jungu kuhusu post yangu flani hivi ambayo niliituma kwenye jukwaa la ajira, sio ishu, pamoujer!
 
bahati nimeisoma thread yote kabla ya kuchangia. alichokieleza ndicho nilichotaka kukufahamisha.
Mademu wote niliowagonga accidentally bila kuwatongoza baadae walitaka niwafuate niwape heshima ya kuwatongoza yani niwe kama nawatongoza upya, huwa wanajisikia vibaya wakigegedwa bila kutongozwa especially kama mnaonana mara kwa mara.

Nimekusoma jembe
 
Bilashaka ww ni miongoni mwa form 4 waliomaliza mwaka 2012, ishukuruni sana hii serikali yenu sikivu kwa kuwabadilishia madaraja!
Heheheheheheee
Polee wee...Kumbe nawe umeathiriwa na tatzo la kukariri
Usipelekwe na matukio ndugu..lolest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom