Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Haka katabia ka wadada kananikera sana!!!

Pole sana asee
Anastahili pole kwa kweli,hapo jemba limemtupa mkulima. Hakufanya kazi ya kuweza kusababisha kuwekwa kwenye record. Hata kama ilikuwa ni bahati mbaya ingeweza kubadilika kuwa bahati nzuri on the way in action. Labda jembe lilikuwa bovu/butu kwa palizi zuri au shamba lennyewe lilikuwa na sangari,so lilidhani limepata ratoo. Kweli kilimo ni uti wa mgongo alisema Mwalimu.!!:coffee:
 
Ha ha ha cha ajabu sasa, leo kanipigia simu mwenyewe eti im sorry beib, siku-intend kukujibu vile, i was very angry that day coz...... thn akakata simu! nikamcall back, akaendelea...eti nilijiona malaya coz hukuniyamkia chochote abt loving me,,, so nikajua utanidharau baada ya kile kitendo!!! pls nijibu hili swali langu ili nijiridhishe, do u real love me or it was just a MISTAKE? hahaha sasa nashangaa, mara ya kwanza yy alisema eti was a mistake, sasa hv yeye ndo ananiuliza kama ilikua ni mistake au lah! hivi wanawake mkoje???
Aaah, kumbe mkulu ulikonga nyoyo, sasa wote waliokuambia ulipiga cha kuku wakuombe radhi.
 
Aahahahahahh, nimecheka mie lol!
Hukumridhisha ndo maana hakutaki tena na pengine una kibamia lol


Utakuta kuna dem umezoeana nae mkajikuta mmependana ila hakuna aliyemfungukia mwenzake, siku ikatokea mmekaa sehemu ya faragha kaka gheto mara ghafla mkajikuta mmeanza kukiss hadi kusex, afu mkimaliza hakuna anayemuongelesha mwenzake kila mmoja anasepa zake, itokee siku unataka kuomba penzi tena au umemtext "mambo mpenzi", utakuta anakujibu, "my dear it was just a mistake, haitakaa itokee tena tufanye mapenzi", we mpumbavu nn,,,kama ulikua unajua ni mistake kwanini upanue miguu tena kwa hiari bila kulazimishwa!!! Acheni hizo bwana, mnaboa!!!
 
ukiona umejibiwa ivo it means anawake bt kusex na ww ilitokea 2 miemko ya ghafla au mwingine mpnz wke yuko mbali mkoan xo kaugwadu kalikua kanamsumbua akajikuta anakupa mzigo. Na wewe unavotaka tna mzigo unamaana gani??? au ndo friends with benefits mnataka?? Xo we wataka kipoch manyoya chake 2 ukijiskia ham sio??? Accept tha fact kama akikujib then meza chochoro au jarib kuongea nae why amekujib ivo na nia yake ilikua nini???
 
or may be ram hapo kaongea ka point flan ivi cz ingekua namna gani vp c angekuganda kama superglue but umeona amepiga kmya ujue mzik wko haujamfikisha!!!!!
 
hukumchapa vizuri,one mistake one goal lol pole we,wenzio wanatumia hio golden chance kupagawisha

Jestina we thubutu kunipa uone mziki wangu, utahisi nimekunywea "erecto" ha ha ha
 
Ha ha ha cha ajabu sasa, leo kanipigia simu mwenyewe eti im sorry beib, siku-intend kukujibu vile, i was very angry that day coz...... thn akakata simu! nikamcall back, akaendelea...eti nilijiona malaya coz hukuniyamkia chochote abt loving me,,, so nikajua utanidharau baada ya kile kitendo!!! pls nijibu hili swali langu ili nijiridhishe, do u real love me or it was just a MISTAKE? hahaha sasa nashangaa, mara ya kwanza yy alisema eti was a mistake, sasa hv yeye ndo ananiuliza kama ilikua ni mistake au lah! hivi wanawake mkoje???

Mbona na yeye yuko huku jamvini...amejibu dukuduku lako ila this time unapewa second chance hakikisha unarudia ushauri hasa wale waliokufundisha namna ya kuweka alama kwenye territory mpya kama hujanielewa angalia simema za wanyama wawindaji. USHAURI; Kama humfikirii kama mke usisite kumwambia ajipange mapema hatuna muda wa kuwashauri kila kuchapo.
 
Anastahili pole kwa kweli,hapo jemba limemtupa mkulima. Hakufanya kazi ya kuweza kusababisha kuwekwa kwenye record. Hata kama ilikuwa ni bahati mbaya ingeweza kubadilika kuwa bahati nzuri on the way in action. Labda jembe lilikuwa bovu/butu kwa palizi zuri au shamba lennyewe lilikuwa na sangari,so lilidhani limepata ratoo. Kweli kilimo ni uti wa mgongo alisema Mwalimu.!!:coffee:

Kwenye bold, kumbe weye mutoto ya nyumbani......tehe tehe teheeeeeeeeeeeeeeeeeeee, karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom