Haka katabia haka...

kam hutajali elimu yako umeishia wapi? maana sio issue kusema office mate!

hah haakindergaten 96 std seven 2003, olevo 2007, advance 2010, varsity 2013 masters probably 2 yrs to come! nikuulize wewe mi najua nipo sahihi ndomana kuna class mate, room mate, office mate n.k acha kukariri wewee.
 

Dawa yake uwe unatembea na chenchi ya elfu 10. Akikuomba buku unampatia chenxhi yote. Wallah hatorudia!!!
 
hah haakindergaten 96 std seven 2003, olevo 2007, advance 2010, varsity 2013 masters probably 2 yrs to come! nikuulize wewe mi najua nipo sahihi ndomana kuna class mate, room mate, office mate n.k acha kukariri wewee.

mdau watu tunataka kukupa hekima. wakati utakapopata hiyo masters yako ya voda faster two years to come nitakuwa na miaka saba toka mimi nimeipata na miaka kumi ya exerience. basi kama una elimu hiyo kiasi then unauliza au kuomba ushauri mnyonge hivyo basi wewe ni janga lingine kwa taifa hili.
 
Dawa yake uwe unatembea na chenchi ya elfu 10. Akikuomba buku unampatia chenxhi yote. Wallah hatorudia!!!

duh nmeipenda sana hii ngoja kesho sasa atanikoma niazime buku simjibu natoa michench tena micoin mingii
 
asee bora tu nije huko itakua nipe nikupe sio kila siku mi nakupaa tu!

Unapenda department gani!??

Mi niko Aesthetic Department...yani tunafanya usafi wa ofisi.
 

Amesikia siku hizi umenunua dildo anataka ukamsaidie huduma!
 
kama kila soko na kichaa wake basi kwenye mitandao ya kijamii kuna vichaa pia na wewe ni wa JF
 

ukilinganisha kijana na mzee automatic mzee atakua na experience zaidi. Taifa lenyewe tu janga.!
 

ukilinganisha kijana na mzee automatic mzee atakua na experience zaidi. Taifa lenyewe tu janga.! umeshinda mwalimu
 
kuzoa na kwenda kutupa takataka naona hii itanifaa zaidi.

Basi andaa shati la pink, tai ya buluu mng'ao, sketi nyekundu/suruali na mkanda wa njano, na viatu vya kijani.

Ni PM majina tukuandalie kitambulisho kabisa!
 

Mbona dawa yake ndogo,wewe jioni nenda dukani kwa mangi chukua chenji ya noti za elfu moja moja nane na za mia tano mia tano tatu then vicoin vya mia mia vitano.Akishafika tu kuomba chenji mwambie wewe upo full alete hiyo not ya book kumi uisambaratishe mchezo kwisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…