hajui lugha ya mapenzi

hajui lugha ya mapenzi

habari za asubuhi wanajamvi! Hope wote mko pouwa,wapi Lara1 na Evelyn Salt?
Asubuhii hii baada ya kuclear viporo na baadhi ya kazi za ofisi kaja jamaa yangu mmoja hadi kwenye working station yangu ana stress kibao anataka ushauri.
Anasema yupo kwenye ndoa ni miezi 3 sasa ila kikubwa ni kuwa mkewe haelewi lugha ya mapenzi.
Kivipi basi? Jamaa anazidi kufunguka kuwa as far as anavyofahamu mapenzi ni kuwa kuna viashiria mtu huvionesha kama anahitaji sexual healing kama vile kumtomasa mwenzie kwa huba na kumkiss sensitive areas and the guy claims to have shown all of them kwa mkewe ila sasa mkewe ndio hana response. Kivipi? Anaweza kushow all the signs ila wife akawa mkavu hadi jamb atoe verbal request ndio apewe mzigo!(eti my dia naomba p***i! Kidogo nicheke wakati nasimuliwa)
anasema leo ni siku ya 13 tangu mara ya mwisho apewe mzigo. Hayo ni kwa kifupi tu.
Kabla ya kumshauri nimemwambia anipe muda ili nipambanue.
Nilichopanga kumuambia ni kuwa apange muda especially this weekend waende outing kama cku 2 either Bagamoyo au Zanzibar then wazungumze nini kifanyike na jamaa atoe ya moyoni. Naombeni more constructive ideas wanajamvi ili niweze kumshauri huyu jamaa

mkuu kila kitu ni kipaji cha mtu huwezi kumlazimisha mtu akubali jinsi alivyo
 
mimi nipo kwenye ndoa miaka kumi na tatu sasa na mke wangu ndio sampuli nimempuuza tu watu wengine nyege zao zipo afrika kusini.
 
ina maana hakumfahamu kabla ya kuoana? i mean hawakuwa marafiki hapo kabla, au ndo zile za tutaduu baada kufunga ndoa? anatakiwa amfahamu mkewe jamanii..
 
mwambie mambo mazuri hayataki haraka aende nae taratibu tu coz haya mambo ili uenjoy ni lazima uweke presha pembeni,pia anatakiwa kuijua sehemu ambayo akimshika tu mkewe atanyegeka na ataomba mchezo mwenyewe.
kama vipi amfundishe mkewe hizo lugha za mapenzi!
onyo: asije akachukua nyumba ndogo akidhani atatatua tatizo coz mwanaume hakimbii tatizo bali anatumia akili kutatua tatizo.
 
wakuu michango zaidi basi maana hapa nimeanza kupata some clues na jamaa nimemwambia tukutane kwangu aje kucheki uefa then I hope to talk to him at that time so please guys.
 
Achunguze maisha yake, naamini kuna maisha anayoishi huyu mkewe hajayapenda, mfano..ulevi, kuchelewa nyumbani, kutomsikiliza hasa mambo ya mapenzi, kukumbatia ndg hata kama wanamkwaza mkewe, kuishi na ndugu bila ridhaa ya mkewe, kutumia ubabe ktk maamuzi ya familia..n.k na mengine yanayokwaza. Kama hamna shida huku basi aende kwa wanatiba kutakuwa na shida imejiificha.

thanx mkuu 4 the useful clues,ntajaribu kumwambia afanye evaluation ya maisha yao b4 that yalikuwaje kabla ya haya kujiri na their current life style then labda ndio nitaweza kuestablish ground za kutoa ushauri japo kidogo
maoni zaidi ya wadau yanahitajika.
 
Achukue plain papers amuandikie mahitaji yake yote ya mapenzi na mahaba.
 
Ivi kwa mambo kama haya ntaoa kweli....? dah!:confused2:
 
Ivi kwa mambo kama haya ntaoa kweli....? dah!:confused2:

kwa nini usioe mkuu?? hizi changamoto hazipo constant na pia kama umri unaruhusu why not?? mie nadhani matatizo na changamoto nyingi za ndoa zinatatuliwa na wanandoa wenyewe sao if you'll stand strong nothing can stand your way
 
Mkuu baathi ya wanawake hasa ninaokutana nao ni complex sana, i.e unaemwamini haaminiki, unaempenda hajali, unaemshauri hashauriki... basi full tabu.
 
si amwambie ukweli au amleete move za kimahaba aone wenzake wanavyo chokoza kimahaba naye apate kujifunza
 
Kwani, walikutana vipi, au wapi na walikaa muda gani katika mapenzi kabla hawajaoana? Mambo mengine kama unasimulia mtu ni ajabu sana! Angesema hapiki, au hafui nguo hicho ni kitu kingine kwamba wanawake wanabadilika. Lakini kumuomba k hadi ulie? Kha!
 
Back
Top Bottom