Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Msemaji wa klabu ya soka ya Simba,Haji Manara,amesema kuwa Simba haikuwahi kuwa na mazungumzo na Emmanuel Okwi wala mchezaji mwingine yeyote.
Akihojiwa leo asubuhi na kituo cha redio cha Magic FM,Manara amesema kuwa hadi sasa hakuna mchezaji wa kupunguzwa au kuongezwa klabuni Simba.
Akihojiwa leo asubuhi na kituo cha redio cha Magic FM,Manara amesema kuwa hadi sasa hakuna mchezaji wa kupunguzwa au kuongezwa klabuni Simba.