GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Nimeandika sana Threads zako hapa JamiiForums na Kukushauri mengi ila una Kiburi, Ushamba na Upumbavu mwingi. Haji Manara hivi kuna Mtu ambaye hajui na nakumbuka hata Baba yako alishakuambia kuwa Wakosee wote ila siyo Mo Dewji kwa Mema ambayo Tajiri wa Watu alikufanyia (hasa Kukufungulia Dunia), ila ghafla ukarubuniwa na Matajiri wako wa GSM ambao nao pia leo umewageuka kwa tabia zako za Kitoto huku sasa ukiutafuta Umri wako wa miaka 70.
In short Haji Manara huna tu LAANA za Mo Dewji bali hata na za Wanawake uliowaharibu kwa zile tabia zako Chafu. Haji Manara hivi Wewe kweli ulikuwa ni Mtu wa Kumtukana Mo Dewji kipindi kile unahamia Yanga SC (ambao hata Wao kwa 99%) yao hawakutaki huku akiwa anakupa Huduma zote kama mwana Simba hadi akakujibu kwa Neno moja tu la ASANTE MUNGU ATANILIPIA yote?
In short Haji Manara huna tu LAANA za Mo Dewji bali hata na za Wanawake uliowaharibu kwa zile tabia zako Chafu. Haji Manara hivi Wewe kweli ulikuwa ni Mtu wa Kumtukana Mo Dewji kipindi kile unahamia Yanga SC (ambao hata Wao kwa 99%) yao hawakutaki huku akiwa anakupa Huduma zote kama mwana Simba hadi akakujibu kwa Neno moja tu la ASANTE MUNGU ATANILIPIA yote?