Hizi si kauli nzuri,Si ndio maana ni zeruzeru. Saiz huo ubunge anausaka kwa gharama yeyote
Dumelang
Msemaji wenu ndio anaongoza kwa kauli chafu, Siku raia wakichoka atatafuta kwa kutokea.
Yaani huyu tapeli amshukuru sana Mo.Kipindi kile Simba walitaka kumreplace alichanganyikiwa. Alihakikisha anabaki kwenye usemaji kwa kumlilia na kumlamba miguu Mo.
Tuache ushabiki
Kwa nini amuite Morrison takataka?
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu Sope ni chizi kuliko masope wote nchini
Kuna baadhi ya vitu hua anakosea sana, na nashangaa sijui kwanini uongozi haumuonyi hua anamihemko inayopitiliza. Simba fan.Kwa nini amuite Morrison takataka?
Kwani kamtaja nani takataka hapo..ama ni uzwazwa wenu? Kuna mahali kataja mtu hapo kuwa ni takataka?Tuache ushabiki
Huyu mpuuzi kazidi, huwezi kumuita binadamu mwenzio takataka
View attachment 1337630
huyu kijana....hivi watu wakianza kumnyanyapaa na ile hali yake atalalamika anaonewa?Ni ajabu sana huyu jamaa anakuwa kama shabiki maandazi ww ni msemaji semea timu yako kitendo cha kumuita Morrison takataka ni kitendo kichafu sasa cjui ww wakikuita........ Utajisikiaje