😂😂😂 Kiongozi nilishamuomba msamaha lakini huyu khantwee hasikii na uchokozi mimi naupenda.Mkuu kiukweli tu bila hata kumung'unya maneno huyu binti umekuwa ukimchokozachokoza sana...kama coincidence bahati nzuri kwenye uzi ambao mlikuwa mnalumbana nimeusahau ulikuwa ni uzi gani but nilikwepo...so mkuu kwa ushauri tu kama wewe ni mtoto wa kiume kweli achana tu na huyu mwanamke,ishi humu jukwaani kwa ku ignore kama kuna mtu kama yeye na usimuhusishe kabisa kwenye michango yako mbalimbali kwenye nyuzi humu jukwaani...ukifanya hivyo utaepusha malumbano yoyote baina yako na yeye yasiyo na msingi wowote
Wagombanao ndio wapatanao 😂😂 nisamehe basi kilembwe changu ila ushauri wangu uuchukue na ni lazima sio ombi 😝😝Wa kustop ni mimi au wewe? Ulishawahi kuona mimi nakufuatafuata? Au unanidai?
Zahera hachukiwi na simba hata kidogo. Hana mafanikio yoyote hapo yanga zaidi ya umbea tu.Ni kama mashabiki wa simba wanavyomchukia Zahera
Mkuu kiukweli tu bila hata kumung'unya maneno huyu binti umekuwa ukimchokozachokoza sana...kama coincidence bahati nzuri kwenye uzi ambao mlikuwa mnalumbana nimeusahau ulikuwa ni uzi gani but nilikwepo...so mkuu kwa ushauri tu kama wewe ni mtoto wa kiume kweli achana tu na huyu mwanamke,ishi humu jukwaani kwa ku ignore kama kuna mtu kama yeye na usimuhusishe kabisa kwenye michango yako mbalimbali kwenye nyuzi humu jukwaani...ukifanya hivyo utaepusha malumbano yoyote baina yako na yeye yasiyo na msingi wowote
Mkuu cha msingi fanya kumu ignore tuBalehe inamsumbua huyu
Sawa mkuuMkuu cha msingi fanya kumu ignore tu
Wishful thinking. Hakuna anayeweza kumtoa Haji Manara. And that is a fact.Amezidi Ujinga Manara bora wamemtimua
Una uhakika kuwa ni la saba?Vyeti adimu nini? Kumbe Kelele nyingi sana nikujihami yupo sawa tu na sisi std 7?
La saba? Una potosha vipofu wenzio humuLa saba,nasikia atakuwa mtu wa propaganda tu .Mambo ya press yote le BOSS ni Gift Macha.
Wamemtimua wapi????tulieni dawa iwaingie vizuri msiyempenda bado yupoyupo sanaAmezidi Ujinga Manara bora wamemtimua
Itawagharimu kivipi...mbona siku zote haijawagharimu ije iwagharimu sahivi...msiyempenda bado yupoyupo sanaIt seems hawamtaki maana hana weledi wa kufanya kazi katika mazingira ya sasa tofauti na taaluma yake ya mipasho.
Kumtema kabisa ni ngumu. He knows a thing or two about the dirty things within the club.
Wanaye huyo! Lakini itawagharimu mwishowe.
Mfukuzeni atoe siri zenu. Dammed having him, damnmed firing him. The choice is yours.Itawagharimu kivipi...mbona siku zote haijawagharimu ije iwagharimu sahivi...msiyempenda bado yupoyupo sana
Tumfukuze kwa lipi mkuu...haondoki yule...majukumu yake bado yapo palepale...gongowazi mkisikia neno hajismanara mnaweweseka sana 😂 😂 😂 😂 ...alafu siri zetu mbona zahera alishazotoa mkuu kuwa sisi tunanunua mechi na kuwapulizia dawa timu pinzani...mwisho tukawanunua na nyinyi yanga,tukawapulizia dawa pale kwa mchina tukawapiga kimoja cha mkwezi...or umesahau mkuu???kuna siri nyingine zaidi ya iyo mkuu???Mfukuzeni atoe siri zenu. Dammed having him, damnmed firing him. The choice is yours.
Msije kumtoa kafara.Tumfukuze kwa lipi mkuu...haondoki yule...majukumu yake bado yapo palepale...gongowazi mkisikia neno hajismanara mnaweweseka sana 😂 😂 😂 😂 ...alafu siri zetu mbona zahera alishazotoa mkuu kuwa sisi tunanunua mechi na kuwapulizia dawa timu pinzani...mwisho tukawanunua na nyinyi yanga,tukawapulizia dawa pale kwa mchina tukawapiga kimoja cha mkwezi...or umesahau mkuu???kuna siri nyingine zaidi ya iyo mkuu???
Hahaaaah mashabiki ya gongowazi bwana...bado mnaamini mambo kama hayo ya kafaraMsije kumtoa kafara.