Haji Manara ametumwa kuongea utumbo vinginevyo viongozi wao wamkane

Haji Manara ametumwa kuongea utumbo vinginevyo viongozi wao wamkane

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
473
Reaction score
1,682
Kwa akili ya kawaida tu wala you don need to go to school kwamba Zungu katumwa kufanya uchochezi kwa niaba ya wana utopolo.

Wamemtuma kuropoka na sio vinginevyo, wako nyuma yake, wao wanamlipa mshahara, wanamhudumia mkewe kwann asiropoke.

Kama ameweza kuwakana Simba kwa sababu yao hawezi kuacha kumropokea Rais Karia.

Kwa vile alishawahi kuhukumiwa na amerudia kosa kiufupi ni sugu, asubiri cha moto atakiona

Lazima tuwe na adabu kwa watu tuliowapa mamlaka na dhamana, ala we Vip bana
 
Ana hasira za kifamilia, sema tu Karia amekatiza mbele, akabebeshwa kila kitu
 
Kwa akili ya kawaida tu wala you don need to go to school kwamba Zungu katumwa kufanya uchochezi kwa niaba ya wana utopolo.

Wamemtuma kuropoka na sio vinginevyo, wako nyuma yake, wao wanamlipa mshahara, wanamhudumia mkewe kwann asiropoke.

Kama ameweza kuwakana Simba kwa sababu yao hawezi kuacha kumropokea Rais Karia.

Kwa vile alishawahi kuhukumiwa na amerudia kosa kiufupi ni sugu, asubiri cha moto atakiona

Lazima tuwe na adabu kwa watu tuliowapa mamlaka na dhamana, ala we Vip bana
Manara ana cheo Gani pale yanga? Manara ni mwanachama wa kawaida wa yanga na alichokisema ndicho uyo karia wenu alichokisema,,karia anapata wapi ujasiri wa kujadili jambo ambalo lipo kwenye chombo cha maamuzi? Ni kiongozi wa ovyo kabisa unamtetea kitu Gani?
 
Manara kaongea ukweli, tatizo tunapenda unafiki. Hii Nchi bana acha tu viongozi wapige hela, imejaa mijitu ya hivyo.
 
Kwa akili ya kawaida tu wala you don need to go to school kwamba Zungu katumwa kufanya uchochezi kwa niaba ya wana utopolo.

Wamemtuma kuropoka na sio vinginevyo, wako nyuma yake, wao wanamlipa mshahara, wanamhudumia mkewe kwann asiropoke.

Kama ameweza kuwakana Simba kwa sababu yao hawezi kuacha kumropokea Rais Karia.

Kwa vile alishawahi kuhukumiwa na amerudia kosa kiufupi ni sugu, asubiri cha moto atakiona

Lazima tuwe na adabu kwa watu tuliowapa mamlaka na dhamana, ala we Vip bana
Wewe ndio kitumbua kabisa, jitafakari ukitumbua wako
 
Nilitegemea kuwa uongozi wa Yanga ungetoa statement ya kumkana Manara kuwa aliyoyaongea siyo msimamo wa Club, kukaa kwao kimya na pia hadi leo kutokemea kitendo cha kihuni kilichofanywa na makomandoo wao usiku wa tarehe 7 March pale kwa Mkapa ni dhahiri kuwa uongozi uko nyuma ya vitendo hivi vya utovu wa nidhamu. Kwa ujumla wa mambo haya mawili yakiunganishwa kwenye utetezi wa Bodi ya Ligi kwenye shauri walilolfungua huko CAS Yanga wanajiweka kwenye wakati mgumu.
 
Nilitegemea kuwa uongozi wa Yanga ungetoa statement ya kumkana Manara kuwa aliyoyaongea siyo msimamo wa Club, kukaa kwao kimya na pia hadi leo kutokemea kitendo cha kihuni kilichofanywa na makomandoo wao usiku wa tarehe 7 March pale kwa Mkapa ni dhahiri kuwa uongozi uko nyuma ya vitendo hivi vya utovu wa nidhamu. Kwa ujumla wa mambo haya mawili yakiunganishwa kwenye utetezi wa Bodi ya Ligi kwenye shauri walilolfungua huko CAS Yanga wanajiweka kwenye wakati mgumu.
Uwe unatumia akili kidogo tu ya kuzaliwa;
1. Manara hana wadhifa wowote Yanga, anaongea mambo yake mwenyewe kama wewe, uongozi wa Yanga unahusika vipi?
2. Uwanja wa Taifa haumilikiwi na Yanga, ni uwanja wa Taifa (Serekali), haingii akilini kusema makomandoo sijui kutoka nchi gani wamezuia simba kuingia uwanjani, wenye uwanja (serekali) walichukua hatua gani?
 
Uwe unatumia akili kidogo tu ya kuzaliwa;
1. Manara hana wadhifa wowote Yanga, anaongea mambo yake mwenyewe kama wewe, uongozi wa Yanga unahusika vipi?
2. Uwanja wa Taifa haumilikiwi na Yanga, ni uwanja wa Taifa (Serekali), haingii akilini kusema makomandoo sijui kutoka nchi gani wamezuia simba kuingia uwanjani, wenye uwanja (serekali) walichukua hatua gani?
Wewe ndiye hutumii akili kwani hujaelewa point yangu umekurupuka. Haji siyo kiongozi wa Yanga lakini kwa vile alikuwa anaiongela Yanga ni busara Uongozi utoa tamko la kujitenga na kauli binafsi za Haji manara kwa sababu kukaa kimya inaweza kusomeka kuwa ametumwa na uongozi na pia wale makomandoo amabo kwenye video zilizorekodiwa wamejitambulisha kuwa ni wana Yanga ilikuwa busara pia uongozi kukeme kitendo kila kwani kimeichafua brand ya Yanga.
 
Back
Top Bottom