Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,830
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!