Hajahudhuria SUMMIT hata moja anataka wenzake wahudhurie

Mkuu hiyo ndio strength yetu. Hao wote ni vijana wetu, wengi wamekulia hapa nchini hivyo wengi ni kama wanarudi nyumbani. Hivyo hawawezi kususia. Ingekuwa nchi myingine, wangesusia, siyo Tanzania.
Tulipowasaidia tulipata nini in return, heshima? maana nchi nyingi tulizozisaidia kama Namibia ziko mbali sana kimaendeleo.
 
Wewe unaongea kama uko kwenye siku zako. SADC ina vikao vya kila aina, mtoa maada anauliza kwenye vikao vya wakuu wa nchi huyu kiongozi wa Malaika amewahi kuhudhulia hata kimoja?
Tatizo ni mihemko katika kufikiri.

Punguza mihemko usome ukiwa umetulia , utanielewa.
 
Vikao vinasaidia nini?

Bora ww umekuwa mkweli, kuna wanasiasa wanadanganya watu eti mkutano wa SADC una fursa. Nimesema wazi kwamba hii mikutano ya jumuiya ya nchi za kiafrika ni sehemu ya kurefresh mind kwa viongozi hakuna tija yoyote ya maana ndani ya hiyo mikutano. 90% ya makubaliano ndani ya hizo jumuiya huwa hayatekekezwi kwani sio ajenda za wananchi bali za viongozi walioko madarakani muda huo, na wakija viongozi wa serikali nyingine huwa hawayafahamu makubaliano yaliyo kwenye hizo jumuiya. Magufuli amegundua hilo ndio maana hana muda wa kwenda kwenye hizo porojo, tunashangaa viongozi wengine hawana kazi huko kwao mpaka kuja kupoteza muda hapa nchini?
 
Kama unadhani kuja kwao ni kuisaidia Tanzania basi we ni mbumbumbu, kila mwanachama anakuja kwa maslah ya Taifa lake so kutokuja kwake hakuna maana yeyote kwetu, watakuwa wamepoteza wao
 
Bora ww umekuwa mkweli, kuna wanasiasa wanadanganya watu eti mkutano wa SADC una fursa. Nimesema wazi kwamba hii mikutano ya jumuiya ya nchi za kiafrika ni sehemu ya kurefresh mind kwa viongozi hakuna tija yoyote ya maana ndani ya hiyo mikutano. 90% ya makubaliano ndani ya hizo jumuiya huwa hayatekekezwi kwani sio ajenda za wananchi bali za viongozi walioko madarakani muda huo, na wakija viongozi wa serikali nyingine huwa hawayafahamu makubaliano yaliyo kwenye hizo jumuiya. Magufuli amegundua hilo ndio maana hana muda wa kwenda kwenye hizo porojo, tunashangaa viongozi wengine hawana kazi huko kwao mpaka kuja kupoteza muda hapa nchini?


Wewe Mr Tindo umetulia, una uwezo wa kuchambua mambo.
 
'inregardless'
Kinachoangaliwa kwenye hizo jumuia ni namna gani nchi mwanachama anashirikiana na nchi nyingine wanachama, summit kama hizo ni sehemu tu ya ukamilifu wa hizo jumuia.

Tanzania inashiriki vyema katika hizo jumuia, na haijawahi kukosa summit hata moja, inregadless ya aina ya uwakilishi wake.
?????????
 
Mkuu hiyo ndio strength yetu. Hao wote ni vijana wetu, wengi wamekulia hapa nchini hivyo wengi ni kama wanarudi nyumbani. Hivyo hawawezi kususia. Ingekuwa nchi myingine, wangesusia, siyo Tanzania.
Kutokana na jibu lako, unakiri kuwa JPM angekuwa Rais wa nchi nyingine, wangesusa. Hivyo kitendo chake cha kutokuhudhuria vikao vya SADC si kitendo kizuri.
 
Back
Top Bottom