- Thread starter
- #21
Wewe ndio ulikuwa unasimamia daftari la mahudhurio.Wewe mbona hukuhudhuria mazishi ya Mbowe? Hata salamu tu za pole haukutoa, achana na Raisi wa JMTZ!
Magu piga kazi.
Wewe ndio ulikuwa unasimamia daftari la mahudhurio.Wewe mbona hukuhudhuria mazishi ya Mbowe? Hata salamu tu za pole haukutoa, achana na Raisi wa JMTZ!
Magu piga kazi.
Akili zako zinafikiri kinyumenyume.Naihisi furaha yako wasipokuja!
Nasikia kuna nchi imetuma Mkuu wa wilaya
Kinachoangaliwa kwenye hizo jumuia ni namna gani nchi mwanachama anashirikiana na nchi nyingine wanachama, summit kama hizo ni sehemu tu ya ukamilifu wa hizo jumuia.
Tanzania inashiriki vyema katika hizo jumuia, na haijawahi kukosa summit hata moja, inregadless ya aina ya uwakilishi wake.
Wewe mbona hukuhudhuria mazishi ya Mbowe? Hata salamu tu za pole haukutoa, achana na Raisi wa JMTZ!
Magu piga kazi.
Not necessarily kwamba viongozi wengine wa SADC hawatakuja kushiriki kikao Dar ushiriki wa Makamu wa Rais au PM unakuwaga umebeba mandate zote kama Rais!Kama ni propaganda tuambie ni kikao gani cha SADC aliwahi kuhudhuria.
Vikao vinasaidia nini?
Kama kikao hakisaidii kitu na hichi cha hapa kwetu akajifiche chato, vijana wa lumumba akili zenu cjui ni matope
Ukweli unaumaAkili zako zinafikiri kinyumenyume.
Nasikia kuna nchi imetuma Mkuu wa wilaya
praise team, njaa mbaya ww usione watu wanajifanya wehu kama musibaUko shule ulienda kusomea ujinga au?
mnaolazimisha aende kwenye vikao... aende akaongee nini uko?? kisukuma?? au mnataka tupate aibu ya mwaka...??
Kwani kikao wanachokuja kukaa Dar es salaam kina saidia nini? Kina umuhimu gani?Vikao vinasaidia nini?
Kwani kikao wanachokuja kukaa Dar es salaam kina saidia nini? Kina umuhimu gani?
Mkuu hiyo ndio strength yetu. Hao wote ni vijana wetu, wengi wamekulia hapa nchini hivyo wengi ni kama wanarudi nyumbani. Hivyo hawawezi kususia. Ingekuwa nchi myingine, wangesusia, siyo Tanzania.Tumezisaidia sana hizi nchi. Hawawezi kususia. Wakipata matatizo Tanzania ndio itayowasaidia. Wanajua hivyo. We have got moral authority.
Tuliwekeza sana kuisadia Africa tukifikiri tutaungana baadaye wakipata uhuru.
Tumejifunza. Charity start at home.
Magu kaza buti, tembea kila kata, wilaya, mkoa, sehemu zote.
Uwahoji watendaji hadharani, wawajibishe, kama hawajui majukumu yao, details, tumbua hapo hapo. Ila tusimuonee mtu yoyote.
Ni wakati wa kukaa nyumbani, kuisadia familia (Tanzania). Nyerere aliwasaidia vya kutosha.
Kuwasaidia haina maana watuogope. Hujawahi ona wazazi wanasomesha watoto kwa shida, lakini watoto wakianza kazi huwasahau wazazi wao?Tumezisaidia sana hizi nchi. Hawawezi kususia. Wakipata matatizo Tanzania ndio itayowasaidia. Wanajua hivyo. We have got moral authority.
Tuliwekeza sana kuisadia Africa tukifikiri tutaungana baadaye wakipata uhuru.
Tumejifunza. Charity start at home.
Magu kaza buti, tembea kila kata, wilaya, mkoa, sehemu zote.
Uwahoji watendaji hadharani, wawajibishe, kama hawajui majukumu yao, details, tumbua hapo hapo. Ila tusimuonee mtu yoyote.
Ni wakati wa kukaa nyumbani, kuisadia familia (Tanzania). Nyerere aliwasaidia vya kutosha.
Ni lugha inayotambulika kimataifa, Kisukuma nani anakitambua hata Majaliwa hakijui.Hata kisukuma ni sawa. Umekariri lazima uongee kiingereza.
Nani amesema kiingereza ni lugha ya dunia, kwanini isiwe kisukuma?