Hajahudhuria SUMMIT hata moja anataka wenzake wahudhurie

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,272
SADC ni Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, inajumuisha nchi 16, hufanya mikutano yake ya SUMMIT kila mwaka inayowakutanisha wakuu wa nchi hizo sambamba na vikao vya Kazi.

Rais wetu hajawahi kuhudhuria mkutano wowote wa SADC Summit tangu aingie madarakani 2015, amekuwa akimtuma aidha Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu au Waziri Mkuu Majaliwa Majaliwa.

Hajawahi kukutana na wenzake kwenye vikao vya Kazi lakini anataka wenzake waitikie mwaliko wake.

Kuna kipindi zilisikika fununu za baadhi ya marais na Wakuu wa nchi kupanga kususia Dar es Salaam Summit, kuokoa hali hiyo juhudi za ziada zilifanyika zikiongozwa na rafiki yake Kagame alimshauri ahudhurie kuapishwa kwa Ramaphosa, baada ya hapo atembelee baadhi ya nchi za SADC ili kujenga imani kwake. Kweli alihudhuria na baada ya kutoka SA Magufuli alitembelea Namibia, Zimbabwe, na Malawi.

Ni rais wetu sawa, lkn tunapokuwa member wa jumuia hasa za nje kuna baadhi ya tabia lazima tuseme wazi hazifai kuzionyesha. Kwa hali hii tusione ajabu kwa baadhi ya wakuu wa nchi za SADC kutohudhuria na baadhi kutuma wawakilishi.

Ukweli mchungu.
 
Tumezisaidia sana hizi nchi. Hawawezi kususia. Wakipata matatizo Tanzania ndio itayowasaidia. Wanajua hivyo. We have got moral authority.

Tuliwekeza sana kuisadia Africa tukifikiri tutaungana baadaye wakipata uhuru.

Tumejifunza. Charity start at home.

Magu kaza buti, tembea kila kata, wilaya, mkoa, sehemu zote.

Uwahoji watendaji hadharani, wawajibishe, kama hawajui majukumu yao, details, tumbua hapo hapo. Ila tusimuonee mtu yoyote.

Ni wakati wa kukaa nyumbani, kuisadia familia (Tanzania). Nyerere aliwasaidia vya kutosha.
 
Kinachoangaliwa kwenye hizo jumuia ni namna gani nchi mwanachama anashirikiana na nchi nyingine wanachama, summit kama hizo ni sehemu tu ya ukamilifu wa hizo jumuia.

Tanzania inashiriki vyema katika hizo jumuia, na haijawahi kukosa summit hata moja, inregadless ya aina ya uwakilishi wake.
 
SADC-Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, inajumuisha nchi 16, hufanya mikutano yake ya SUMMIT kila mwaka inayowakutanisha wakuu wa nchi hizo sambamba na vikao vya Kazi.

Rais wetu hajawahi kuhudhuria mkutano wowote wa SADC Summit tangu aingie madarakani 2015, amekuwa akimtuma aidha Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu au Waziri Mkuu Majaliwa Majaliwa.

Hajawahi kukutana na wenzake kwenye vikao vya Kazi lakini anataka wenzake waitikie mwaliko wake.

Kuna kipindi zilisikika fununu za baadhi ya marais na Wakuu wa nchi kupanga kususia Dar es Salaam Summit, kuokoa hali hiyo juhudi za ziada zilifanyika zikiongozwa na rafiki yake Kagame alimshauri ahudhurie kuapishwa kwa Ramaphosa, baada ya hapo atembelee baadhi ya nchi na SADC ili kujenga imani kwake. Kweli alihudhuria na baada ya kutoka SA Magufuli alitembelea Namibia, Zimbabwe, na Malawi.

Ni rais wetu sawa, lkn tunapokuwa member wa jumuia hasa za nje kuna baadhi ya tabia lazima tuseme wazi hazifai kuzionyesha. Kwa hali hii tusione ajabu kwa baadhi ya wakuu wa nchi za SADC kutohudhuria na baadhi kutuma wawakilishi.

Ukweli mchungu.
Naihisi furaha yako wasipokuja!
 
SADC-Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, inajumuisha nchi 16, hufanya mikutano yake ya SUMMIT kila mwaka inayowakutanisha wakuu wa nchi hizo sambamba na vikao vya Kazi.

Rais wetu hajawahi kuhudhuria mkutano wowote wa SADC Summit tangu aingie madarakani 2015, amekuwa akimtuma aidha Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu au Waziri Mkuu Majaliwa Majaliwa.

Hajawahi kukutana na wenzake kwenye vikao vya Kazi lakini anataka wenzake waitikie mwaliko wake.

Kuna kipindi zilisikika fununu za baadhi ya marais na Wakuu wa nchi kupanga kususia Dar es Salaam Summit, kuokoa hali hiyo juhudi za ziada zilifanyika zikiongozwa na rafiki yake Kagame alimshauri ahudhurie kuapishwa kwa Ramaphosa, baada ya hapo atembelee baadhi ya nchi na SADC ili kujenga imani kwake. Kweli alihudhuria na baada ya kutoka SA Magufuli alitembelea Namibia, Zimbabwe, na Malawi.

Ni rais wetu sawa, lkn tunapokuwa member wa jumuia hasa za nje kuna baadhi ya tabia lazima tuseme wazi hazifai kuzionyesha. Kwa hali hii tusione ajabu kwa baadhi ya wakuu wa nchi za SADC kutohudhuria na baadhi kutuma wawakilishi.

Ukweli mchungu.
Tatizo la yeye kujiona ana akili sana kuliko Watanzania wote anadhani pia ana akili kuliko ma Rais wote wa SADC.

Hajui kuna kitu kinaitwa reciprocal kwenye uhusiano wa kimataifa. Unafanyiwa unachofanyia wenzio.

Kama hana muda wa kuzurura ili awahudumie Watanzania, kwa nini hao ma Rais wa SADC waje kuzurura Tanzania?

Ma Rais wataokuja watakuwa wanajishushia heshima zao. Tusubiri.
 
Kwa hiyo huu ndio utetezi wako, Tanzania ina safari ndefu kuyafikia maendeleo.


You are obvious intelligent man. Una akili timamu. Therefore you can think. Kwa maslahi ya Taifa.

Tanzania has done more than any African country for this continent. No country in Africa wanaweza kuisusia Tanzania.

Apologies for mixing up languages.
 
Back
Top Bottom