Uchumi haufanyi kazi hivi...
BRICS ni muungano wa nchi Maskini ambazo zinapolitical instability kila baada ya Miaka 5.
Only Euro kwa sasa Ndio inaweza kuitoa Dola kama wakiwa Neutral but that is USA the advantage.
Sharti la kujiunga na BRICS ni zile nchi 5 zikupende tu, sharti la Kujiunga EU mfano
1. Ubadili Sheria zako zinahusiana na Rushwa kwa kuhakikisha Rushwa kweli ni Adui wa haki.
2. Mihimili ya Nchi iwe na nguvu na Uhuru sawa bila kuingiliana
3. Nchi iwe na utawala wa Sheria
4. Uhuru wa soko.
Jana Uganda



iliingia BRICS kama partner state... Nchi ambaye Kuna zaidi ya 60% Rais atafia madarakani alafu power struggle ianze, no succession plan
Aina nyingine ya Wanachama wa BRICS Ni Venezuela, Beralus.
Hakuna economic opportunities ndani ya BRICS kwa wananchi, i.e there is justifiable reason ya Wahindi kwenda China kama skilled workers and vice versa, Wala kwa Wanachama wengine