Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,395
- 18,230
Una akili sana mkuuLinganisha na kauli hizi:
1. Titanic haiwezi kuzama kamwe; hata Mungu hawezi kuizamisha.
2. Dola ya Babeli (baadaye wakasema Rumi) haitoweza kuangushwa kamwe.
3. Michael Jackson hawezi kufa.
4. Korona haiwezi kuisha.
5. Makao makuu ya Bongo hayawezi kuhamia Dodoma.

