Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #21
Nakupenda sana lakini kuna kitu siwezi kukiacha!! Mh! Hii ni ngumu kumesa babaangu unless kiwe hakina ukwazo mkuuubwa kwa mpenzio. Mfano mpira. Lakini kama unapenda akina dada/kaka poa halafu unaconfess/ungama!!
...lol....mwj1 is that your confession mamaa?....