Kwasababu na wewe ni mchawiComment ya mchawi utaijua tu
Kwasababu na wewe ni mchawiComment ya mchawi utaijua tu
Si kweli kwamba tunaoteshwa na Mungu ili tuwajue adui zetu..tuwajue ili tuwafanye nini?? Mawazo ya Mungu na ya wanadamu ni tofauti kabisa.. Kuota Ota maono ya kishirikina ni sehemu ya nguvu hizo hizo za kishirikina.. Kama tuliambiwa tuwapende maadui zetu. Tuwaombee wanaotutesa kama ni kweli maono yake yangekuwa yanatoka kwa Mungu.. Chuki alizonazo zingetoka wapi?? Imani ni jambo gumu kuliko wengi tunavyolitafsiri kirahisi rahisi tuu..Mshukuru MUNGU kwa uwezo huo aliokupa . Mwambie Ahsante Mungu
Sio Rahisi kufahamu matendo mabaya ya adui yako.
Sasa unafikiri ningejua vipi kama wewe ni mchawi???.. au unataka nikugeuze nyani? Sema kama unatakaKwasababu na wewe ni mchawi